@sanyanationlabeltz: baada ya msiba kugairishwa na kurudishwa dar watu wamekua na mengi ya kuongea ila dada ameligusia swahili la BENJA WASANYA JUUU NIUZUNI😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
wangezika tu kwan mbona tunazika watu hatuwajui jaman
2026-08-01 17:21:33
7
Momy didah :
Poleni sana wafiwa
2026-08-01 17:01:10
4
Brinah :
😭😭😭😭jmn B unateseka pole ila endelea kupumzika kwa aman
2026-08-01 15:31:46
3
manka :
vijana walikua wamelewa sana ukweli ndo huo
2026-08-01 17:45:32
7
Jenny de patrah :
huy marehem huend alimwomba Mungu asife kabla ajafik mosh ikatokea bahat mbay akaf ajafik hvy akapata chansi ya kuj akiwa maiti aendelee kupumzika kwa aman 😭😭
2026-08-01 21:34:39
10
mrs.fellychesm :
Dah apunzike kwa amani
2026-08-01 21:48:51
1
user5306351741051 :
inakuwaje muchukuwe mwili siooo wa ndugu yako mpaka anaandaliwa anawekwa kwenye jeneza ndugu walikuwa wapiiiii jamaniiiii auuuu ndio uoga mukashindwa kuhakiki na jeee gharama za mazishi kuleta kumrudisha mulete Tena kweliii Muna hella hongereniiii
2026-08-02 11:32:18
1
Beby J :
Sasa kwann mlimbishia mdogo wake lakin
2026-08-02 07:59:37
3
prettygirl :
polen jmn jiran zangu
2026-08-02 07:04:18
1
Lilian :
kilimanjarooo
2026-08-01 19:40:56
1
judithmollel0 :
Mnasumbua marehemu jaman😭😭
2026-08-01 16:33:02
2
vivianmrema3 :
poleni sana ndugu zangu na mlimpokea kwa bashasha poleni
2026-08-01 16:30:15
2
MUNUO THE DONE :
ase daah!!
2026-08-01 15:53:57
1
user3422159659551 :
sw polen
2026-08-02 08:20:02
1
user3422159659551 :
ok
2026-08-02 08:19:33
1
Rose Mwamwaja :
duh huyu kaka huo msiba uliondoka jana jioni na jirani angu
2026-08-01 17:40:17
1
mamu jacksom :
poleni sana jamani nilijua ajafa uyo benja kumbe mwili t ndo mwingine