Tabia ya kuacha begi ndani ya basi kisha nikazurure nje ilinitokea puani. Nililikimbiza basi mpaka linakaribia Maili Moja Kibaha, boda alivyoona hapa hakuna kulipwa akasimamisha boda huku tukishuhudia basi likichanja mbuga kuelekea Mlandizi. Ile siku nililia kuliko Ambulance ya Muhimbili Hospital.
2026-08-03 17:40:31
8
chapo :
nakumbuka mwaka 2020 wakati natoka Zanzibar naingia pale Dar nikadaka chuma ya Saul toka Dar to mbeya,Kuna jamaa si akachwa na Hy bus akachukua boda boda alimlipa boda 40000 lile bus lilikuwa halina huruma na mtu 😂😂
2026-08-03 16:56:17
5
I don't care ,Meckwisdom :
sauli on trending
2026-08-03 10:54:00
4
Mr Joseph HD :
kipindi hicho dar palikua mbali sanaaa sio kama sasa hivi dar ni kalibu mno kila mtu anafika
2026-08-03 15:11:18
23
# Matengo son :
nakumbuka hapo niliachwa na ally's no 1 mungu saidia nyingine ilikuwa imechelewa ndio nikapandishwa ya pili yaan nilienda kuikuta mizani maili moja
2026-08-03 19:22:58
4
bonnieBackup💫 :
Endelea kupumzika 🙏🏾😌💔
2026-08-02 22:33:02
10
Isega Mboya :
namuona mwamba SAULI 😢😢
2026-08-03 16:07:38
1
babynana ♉️ :
nilitapeliwa hapo sitapasahau nashangazi kaja langu wakabeba
2026-08-03 17:42:43
2
Hanso elm :
Niimeiona sauli hapoo
2026-08-02 20:28:23
3
hilda shemnguo :
usinikumbushe stendi ya ubungo jamani khaaa ilijuakututesa mimi niliachwa na basi baada ya hapo nikawa naendakulala ubungo ili niliwahi basi daah
2026-08-03 07:46:35
3
Maisol mtumba store👚👗👖 :
Yn ubungo nilishuka hapo😂 nikashindwa pakutoa kila nikizunguka narud pale pale😂😂
2026-08-03 17:39:07
1
tatianadido1🥰👨👦⭐️ :
niliachwa na newforce,,,nililia balaaaa😭😭😭,kama mara mbili ila hiii ya pili nilichukua boda mpka mbezi mwisho nikalikuta,
2026-08-03 19:28:42
1
joh elias :
kipindi kile ndo kulikuwa na ligi achana na saizi aisee
2026-08-03 09:46:24
5
Hajj Nyambu :
dah aisee long time yani nilijuwa naenda kukaa pale ubungo maji kusubir nione ngorika au capricon sauti yamanka
2026-08-03 15:05:02
1
WambeguDTC :
naombebi hii OG mwenye nayo please
2026-08-03 14:36:23
1
Prince mangii :
niliduaaaa kwanzaa daah ubungo ya zaman daah
2026-08-03 13:27:31
1
ftft :
12 asbh inabaki kuw Timetable pendwa kuwah kutokea kwenye karne ya 21.
2026-08-03 12:50:03
2
WambeguDTC :
nilikuwaga nikisindikiza mtu ubungo, siondoki mpaka hii vibe iishe napenda sana jaman🤣🤣🤣🤣🤣
2026-08-03 14:34:43
3
JOO🦚⚽️🎖🔛 sports wear ⛳️⚽️🥅 :
hii ndo ilikua stand sasa🤝😂
2026-08-03 16:20:02
2
𝕄𝕊𝔸𝕄𝕀𝔸𝕋𝕀 :
Duh hapo ndio palikua Ubungo 😂😂😂😂😂, Hii nchi Magufuli aliitoa mbali sanaa
2026-08-03 22:39:27
0
Erick Mkwetu :
Hapo ubungo ilikuwa ni noma
2026-08-03 17:30:52
0
Jimmy Mwangole Jr :
hii sasa ndii ilikuwa stand bora na ndio kipindi iki ligi ilikuwa tamu ya mabasi.....achana na hiyo kona yavo lala mabasi ni noma
2026-08-03 16:29:40
4
Emmaboe001 :
nakumbuka kuna siku ilitikeaga mgomo alaf walipokubaliana magari yakaanz kutoka ss kama ilivykawaida magar yakaanz kutoka kwa spidi kali ss kuna gari moja likafunguka buti aisee ilipita na vichwa vya watu balaaa yan siwez kusahau
2026-08-03 18:35:36
1
faru_jooh2 :
hapa madereva walikua wanalipa mtu kwaajili yakuwatolea gari getini
2026-08-03 17:08:20
0
To see more videos from user @j.six8, please go to the Tikwm
homepage.