shida sio kukutemea shida moyo wake umeridhika kukutambikia hivyo ?
2026-08-02 04:51:46
283
Elizabeth Geo🏆 :
mamangu hana shida babangu aweee ataita kikao cha ukoo aseme nimekua mwanga😂😂😂
2026-08-01 23:21:07
179
judithmollel0 :
Yan maisha magumu tunayopia n wazaz wetu ndo sababu😭😭 yan mzaz ukimkosea kdogo tu anakupa laana😭😭😭 ukiwa unampa pesa sanaaaa ukija kuacha kumpaaa anakupa laana yan hajui na ww unaweza kosa😭😭😭😭
2026-08-02 05:54:56
66
mimah_49 :
😂😂 Kwa babaangu apana sijawahi kumuamin Yule Mzee
2026-08-02 06:47:32
39
Craah :
sisi ambao hatuna mama na baba tufanye vipi??
2026-08-02 07:39:48
16
Dīāh Rēē💕🦋 :
Tusiokuwa na baba nao🥺
2026-08-02 01:47:20
18
MAMA OKYOU ( OYKU) 🧿 :
Nakam una mzazi umoja?
2026-08-01 21:13:05
30
Mohiny 2💕🥀💕........ :
😂😂😂😂😂😂 Shekeeee so wazazi wanguuu Hawaweziii
2026-08-02 05:49:57
13
careless women🤭🍀 :
wacha niichukue hii video nikamuoneshe mama maan nikimwambia kwa mdomo atanambia nimeanza ushirikina😂😂
2026-08-02 07:13:47
7
Gift 🍭 :
Wengine hatuna mzazi hata mmoja🥺
2026-08-02 05:37:18
9
Frola Ghandai :
sina baba nina mama mama naye mlokole atasema ushirikina
2026-08-02 04:55:07
9
Jimmy Alhisham :
Mambo ayoooo.. 🔥🔥🔥
2026-08-02 05:42:09
1
Nene💕 make up💄💋 :
Miss u mama🥺🥺
2026-08-02 04:49:30
0
Akamacho or Akamiko :
aweeeee
2026-08-02 07:26:33
0
Queen Leo :
usijali kipenzi, ,,,huu mwezi ugeuze kuwa mwanzo wako mpya ....toka nje jua likiwa limewaka ongelesha hilo anga likusaidie kunyonya huo uchungu,, usiku toka tizama mbalamwezi iongeleshe ibebe huo uchungu☺️☺️walkshi utapona trust me,,,ukitembea iambie ardh inyonye huo uchungu...
2026-08-02 07:22:20
8
Martha Shempemba :
RIP my mom and my dad
2026-08-02 02:57:22
0
dinnahriz1💕 :
I understand that feeling, Mayb God bless us & our family Amin🤲
2026-08-02 06:10:17
0
Jackline 🥀 :
Ngoja niwatemee wanangu wakiwa bado wadogo 😂
2026-08-02 07:01:40
5
YAMAL 2004 :
mi kiukweli mze yupo lakini sijuii namuazaje kumwambia ilo mana KUNA BABA NA BABA ANGU MIMI ✍️