@nyumbabora: #fyp #viralvideo #tanzaniantiktok🇹🇿

Nyumba Bora
Nyumba Bora
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 02 August 2026 09:18:55 GMT
56472
2425
49
481

Music

Download

Comments

derick_kimaro78
Derren :
Boss ukisema 14m 19m unamaanisha nini
2026-08-02 18:24:32
2
lastborn0186
lastborn01 :
Kak iyo M19 unapiga finishing kabisa
2026-08-09 07:24:15
2
busybees291
Busybeesriders :
nyumba kali mmeinyima madirisha
2026-08-27 05:07:19
2
3m2751
3M :
Bos ramani na gharama nitapata iyo. Please nijibu
2026-09-13 11:21:45
0
dartonjunior8
dartonjunior8 :
Kama hiyo ni how much boss
2026-09-07 09:04:55
1
mrsmile_006
King smile👑 :
gharam yak jumla shngp
2026-09-10 00:32:45
0
regnald..ussiri
MAN OF GOD 🇨🇦 :
mkuu mbm mnafanya naona inawezekana lakn mafundi wanasema haiwezekani kwan mnatumia material gan
2026-08-02 10:57:40
1
diablo_himself
Bama :
Nyumba nzuri sana imekosa swimming pool tu
2026-09-07 19:25:38
1
cousin_wa_kenya
COUSIN_WA_KENYA :
habarì ninaboma hadi kwenye renta vp linaweza kuwa hivyo
2026-08-02 10:40:47
1
e.movie5
e.movie :
nahisi 14*19 nje ya finishing
2026-08-04 06:22:40
0
dremmanuely
Dr.高 新 封 :
Noma sana
2026-08-02 12:33:26
1
chiefmsangawale
Msangawale 👑Chief :
Duuhh nyie jamaa mnatisha sanaaa
2026-08-20 11:20:36
0
mussa.adam375
wanyodo tz :
delivery unafanya
2026-08-15 00:35:41
1
user1966236351234
abby :
iyo nyumbq mnauz
2026-09-06 09:21:59
0
kimyakimya39
kimyakimya :
Kwa hali ya hewa ya dar hiyo design ni hell on earth! Ni design nzuri lakini nina uhakika sio practical kwa hali ya hewa ya dar. Suala lingine ni mzunguko wa hewa na mwanga.
2026-08-02 12:09:02
0
steve.phd
𝑺𝑻𝑬𝑽𝑬 🇹🇿 :
Ukiongeza chumba cha tatu itaghalim Tshingapi kaka
2026-09-01 11:12:02
0
hassn_246
H :
nna kiwanja 24 kwa 26 unaweza nipa raman
2026-09-04 12:14:30
0
knghnri
King Henry :
14*19m ni ukubwa eneo sio lazima usome, kikubwa unaweza kununua
2026-09-17 17:57:50
0
sajie110
Sajie110 :
Hii ya moto
2026-08-03 16:23:22
0
.king78203
King :
ramani yake unapataje!?
2026-08-08 09:26:55
0
kihongole3
MR AWARENESS🧠🧠 :
GUYS HIZO NI SQUIRE METERS NA SIYO BEI😅😅😅
2026-09-14 13:31:26
0
rajabubwamkuu
Bwamkuutattoo :
nikiangalia raman yangu najiona mjinga kabisa mimi...hii nitakutafuta 😂😂😂
2026-08-03 19:29:16
0
drjj057
DR.JJ :
kama hapo imegharim bei gani Kila kitu
2026-08-03 17:46:06
0
johnbanyikwa6
#BaVin :
kwahiyo mtu akikupatia Tsh 19 M unamkabidhi hiyo nyumba?
2026-08-02 15:07:32
0
To see more videos from user @nyumbabora, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About