@omarymadenge8:

omarymadenge8
omarymadenge8
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 02 August 2026 11:27:00 GMT
96240
3173
162
445

Music

Download

Comments

chef.mohammad.mandhry
Zanzibar Ghost Kitchen :
huyo mtu akiwa na akili anarudi na anakushinda na point maana hapo anarudi anakuambia Hela haijanifikia wewe utamjibu mtandao ulikua na shida au utamjibu Hela zako ni hizi yeye nae hatokubali atasema alikupa Hela kamili Hadi ukakubali kumtumia Ina maana ulijiridhisha Hela ipo sawa so inakuaje saa hivi umuambie vingine usijione mjanja kwa Hilo
2026-08-03 17:24:27
22
sweetie_shey
♥️ sheyllah..🥀🦋 :
akirud usimpeee
2026-08-02 12:14:27
16
user8356806325960
rukia kione :
mwizi kaibiwa
2026-08-27 02:45:02
6
rayasel94
Рей Асель :
ndio maana mimi uwa sitoi huduma kwa mteja mwenye haraka
2026-08-03 08:27:21
19
ramad661
@ramadhan n_h :
Huyo mwezi unakuta mwenyew abaiangalia hii video 🤣🤣🤣
2026-08-27 03:49:06
5
mtanzaniaorgkandayaziwa
J'S SYSTEM✍️✍️ :
Pole sana dada angu pia hongera maan me nilikuwa napoteza hadi 5K mara mbili kabisa hadi nikawaza kuacha kazi tuu😭
2026-08-03 07:17:58
5
marygoreth120
Marygoreth KBM :
Hicho kitu ni Roho Mtakatifu
2026-08-30 14:44:06
1
shamiadawi
💕💞shami love🥰 :
daah ata sijaelewa🤣
2026-08-24 12:51:48
1
joharyhomedecor
johary home decor :
Nilitaka kucoment Ila bando langu limekata😂
2026-08-25 11:24:09
4
user5655199539027
shymaa :
asante dada. from kenya
2026-08-28 05:17:54
1
mwigulu.zengo.mach
mwigulu zengo machiya :
hogera
2026-08-03 12:23:12
2
lighttie_mushy
lighty❤️ :
Na sisi tuliolike tupewe gawio😂😂😂
2026-08-24 03:20:33
4
a_man_tz
a_man_Tz :
Una bahati nzur ila uwe unajiandaa kwa vita wakirudi huwa wanakua wakali sana
2026-08-03 09:20:23
11
gersonsumar
Baba boyz :
Dada ongera sana Mung akutangulie na usiaache kusali..
2026-08-27 20:53:36
5
esterfulgence25
Ester clean045 :
nilituma laki 8 nikaachiwa laki 2 mchezo ni huo huo, hongera sana kwa kua makini
2026-08-28 18:45:03
3
ally.mkingame2
Ally Mkingame :
pole .kwa changamoto dada .wezi sasa ivi ni watu wazima .ovyooo
2026-09-02 11:03:01
1
majaliwa170
majaliwa17💪💪 :
#Aise kwanza pole sana ila kama aki rudi mchukulie atua kwanza.pia ongera na MUNGU akubariki.🙏🙏🙏
2026-08-05 13:09:10
5
ariella311
✨️😍 CHOSEN EJOMY😍✨️❤️ :
wewe usile hela yake Bali mtumie ichoichokiasi alichokupa maana kumbuka hiyo hela ameshamdhulumu mwingine ndio ikafika kwako na aliyedhulumiwa Kuna machozi amelia na Kuna maneno kanena wakati analia kwa uchungu🙏
2026-08-04 21:14:20
7
sweet.baby.baby
Sweet baby Baby :
Pole sana
2026-08-18 19:12:44
1
mcswallo
𝐬𝐰𝐚𝐥𝐥𝐨 𝐌𝐂 :
umeona unitangaze😂😂😂mrembo
2026-08-12 10:48:20
2
user551819811838
Issa Mandoa🍁☠️ :
Ongea halaka halaka mb zitaisha dr.
2026-08-24 09:26:40
3
rehemacharles421
Rehema Charles :
pole dada na hongera kutuelimisha🥰
2026-08-26 11:38:44
3
comedycen7
comedycen7 :
Dah jamaa uko walipo kama nawaona 😂😂
2026-08-22 18:09:50
5
ummybby2
ummy bby❤️‍🩹 :
me alikuj mtu anatk kutum 2m nikamwambia sin salio kumbe hela bandia aliend kukamtwa nazo huko
2026-08-23 05:55:54
3
To see more videos from user @omarymadenge8, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About