@doctmuutibaasili: HI NI HATARI SANA#tiktoktanzania🇹🇿 #tiktokkenya🇰🇪 #tiktokzanzibar #tiktokusa🇺🇸

DOCTMUUTIBAASILI
DOCTMUUTIBAASILI
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 02 August 2026 12:00:01 GMT
48181
1240
116
197

Music

Download

Comments

cptn821
cptn :
uchawi upo ila tiba yake ni Dua kumuomba Allah na kumtegemea yeye
2026-08-02 15:17:31
50
martha_ndosi
Martha_ndosi :
nipeni kiti kwanza niwahadithie yangu ni mazito
2026-08-02 19:05:51
13
ochuurimbo
ochu_urimbo :
mimi ikiwa ivyo naenda kuishi ivyo ivyo
2026-08-02 18:52:35
14
fireextinguishertanzani
FIRE EXTINGUISHER TANZANIA :
vitu vipo sana
2026-08-02 14:29:36
4
beachstarsdiani
Diani Beach Lifestyle :
acha Shirki Azidishe Dua na Uradi na swala tano na pia Swadaka na Atie nia kujenga atamaliza kwa uwezo wa Allah
2026-08-02 21:40:13
11
joycenawale5
NAWALE 💤 baby shopping 🛍 ✨️ :
Mungu yupo pia
2026-08-06 07:10:35
1
agnesmwatelaness
Agnes Mwatela 🇦🇪🇰🇪 :
awe pole sana 🥲🥲🥲🥲
2026-08-03 12:24:55
1
buda915
user8701425741829 :
rabtwi 😅
2026-08-03 12:16:00
1
zashfa6
rehema87 :
Mimi nakataa yy angejenga vyumba viwili na seble mambo yasiwe mengi angeongeza chumba kimoja kimoja wakati ameshahamia tayari
2026-08-03 15:13:39
1
pirira123
thumu :
yangu pia imefika hapohapo aki pesa hatushikii hadi huruma
2026-08-02 18:38:03
4
shamimwahuabdul1
mwarii wa wambugu :
huyu ni kama Mimi haki
2026-08-02 23:06:33
0
baraka_dreadlocks
Baraka Dreadlocks :
wale tunao muamini Yesu krsito hatuna wasi wasi
2026-08-03 12:00:12
2
msmona88
Mona🧿 :
Sina hamu mimi🙌🏻🥹
2026-08-03 15:16:44
1
mrsibrahimu1
mrs ibrahimu🥰 :
ndio maana mm mambo yangu nayafanya kimya kimya sitak ujinga
2026-08-03 06:16:51
8
abubakarsuleiman719
abubakarsuleiman719 :
Sio uchawi ni hesabu tyu kaka,mfano budget inasoma vyumba viwili wew unaanzisha ujenz wa room 4 kisha bunda linakata kisha uje useme uchawi 😂😂😂
2026-08-03 09:28:54
1
kenanmligo
Kenan :
Sio Uchawi..ila Ukianza tu ujenzi bas jua mzunguko wa Pesa na wewe unapungua na ukijichanganya Unaweza kukosa kabisa pesa
2026-08-03 19:40:05
1
skywalker2543
sky walker🇰🇪🇶🇦 :
Kujenga si rahisi 😂 wala si uchawi,pesa ya nyumba ni pesa ambayo huna kaz nayo imekaa mahali tu
2026-08-04 22:56:46
1
itschenxi2
🌻Marii🌻 :
Mi nashauri amka saa nane usiku sali lia na Mungu bhas
2026-08-03 06:49:27
0
rehema.mpanda8
Rehema Mpanda :
Dawa ni Maombi tu🙏🙏
2026-08-02 19:40:37
1
daxelectronics
dax electronics :
ukitaka kujua kwann miradi ya serikali inachukua muda kukamilika anza ujenzi ndo hii
2026-08-02 17:32:03
0
christine568
christine :
Ndio nayatoa wapi jamani
2026-08-02 17:53:06
1
mayatz54
MAYA :
Naogop mait ayo maji nitawewesek mpk niumwe juz tu hp nime beb maji ya mait ya aunt yangu nikamwage ckwenda choon mpk nalud 😭😭😭
2026-08-02 15:16:35
3
desmosimon
DESMO SIMON :
Ukielewa kuna kupanda na kushuka pia kuna kupata na kukosa miaka mitano sio kitu. Shule kuna ile point ignorance and superstition Kama Pete na kidole huo mda wa ku deal na ushirikina tunao kweli ni Kama wale wanaokesha kukemea mapepo kila siku
2026-08-02 18:54:00
2
cuppichono
cuppichino :
hii nyumba zaidi ya miaka mitano..
2026-08-02 23:32:23
1
mick.zegu
MICK ZEGU :
miaka mitano mbona michache
2026-08-02 22:59:02
3
To see more videos from user @doctmuutibaasili, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About