@zeyadalnemari: طريق الغديرين بالهدا #الهدا #الطائف #زياد_النمري

زياد النمري 📸
زياد النمري 📸
Open In TikTok:
Region: SA
Sunday 02 August 2026 16:27:57 GMT
32992
619
59
138

Music

Download

Comments

m70726791
s7z•l📸 :
ماشألله تصويرك فنان ❣️❣️❣️
2026-08-02 16:37:33
5
os_1903
ōs 🇸🇦 :
ما شاء الله اخ زياد ، الله يوفقك ويحميك بعض الاماكن ف الطايف ما عرفتها الا من حسابك
2026-08-02 19:09:28
1
u.dhz
͛ :
وادي الغديرين ديار قريش ❤️
2026-08-02 19:16:50
2
meez_91_
معتز :
فين السياحه في الطريق
2026-08-02 19:23:14
0
hlal976
سلمان 511 :
والله احبك
2026-08-02 19:15:01
0
smn_2010
S :
ارحب من جا ديرتنا ارحب تراحيب السيل 🔥
2026-08-02 17:47:51
1
nadeem19863
النديم :
صف في الزحام افضل لك بعيد جداً
2026-08-02 17:17:43
1
grantedslave
عطا البلوشي :
بعيد
2026-08-02 19:28:50
0
ahmedsh7777
احمد . :
للامانه صور الطريق والمدخل ومحتوي جميل تشكر عليه يازياد
2026-08-02 16:55:05
1
salooh101
salloh :
كم المسافة؟
2026-08-02 17:04:42
0
user8761852414694
user8761852414694 :
كيف تنزل الطايف من الهدا؟!!
2026-08-02 19:09:02
0
abumoayad29
to be or not to be :
أنا اعرف الطريق لكن من وصفك ضيعت كيف الي ما يعرف الطريق
2026-08-02 18:59:44
0
mohammedtabasha0
Mohammed Tabasha :
لمن ابغى افصل عن العالم اروحه
2026-08-02 17:40:47
0
2020ss5
أبو عبووووود2020@ :
ليش تعلمهم هذا سر بيننا
2026-08-02 18:19:23
0
m.a_q0
m.a_q0 :
تدفع رسوم لانك دخلت ديرتنا 😅
2026-08-02 16:47:54
0
hbjibibbkjj
★𝑩★ :
اول
2026-08-02 16:30:50
0
yemny30
ثقافة اسلاميه :
ينزلك الطائف او يطلعك الطائف
2026-08-02 16:50:44
0
tota.2042
توته :
استاذ زياد ع البركة السيارة جيتور ؟
2026-08-02 17:01:18
0
salemo0701a
salemo0701a :
مرة بعيد طلعات ونزلات يطلعك الضحياء..
2026-08-02 19:34:03
0
sattam.nokesh
Sattam Nokesh :
وين المناظر
2026-08-02 19:24:54
0
ai__442
LoLi515 :
قديم
2026-08-02 19:32:22
0
i2.99i
M :
لا تعلم 🥹
2026-08-02 18:01:26
0
tmtandtherest0
ⓑⓐⓩⓝⓢ :
ياخي صور الطريق من البدايه ليه التصور داخلي !!
2026-08-02 17:52:59
0
drziiz
Yazeed . :
تصويرك👌
2026-08-02 17:34:27
0
pa.z5
ᴹ 🐆 :
اول
2026-08-02 16:32:24
0
To see more videos from user @zeyadalnemari, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Licha ya kelele zote za umma kuhusu ufisadi katika sekta ya mafuta, hali inazidi kuwa mbaya zaidi. Chura kiziwi kawa kiziwi kwelikweli. Taarifa zinazozunguka kwenye sekta hiyo zinaeleza kuwa biashara ya mafuta ya transit kupitia Tanzania imezidi kudorora. Kqmpuni za mafuta (OMCs) za Rwanda, Burundi na Malawi zilikataa kuchukua mgao wao kupitia mfumo wa Bulk Procurement System (BPS) kutokana na  gharama kubwa za ununuzi. Badala yake, zilitafuta idhini kutoka kwa serikali zao kuagiza mafuta kupitia utaratibu wa private cargoes, huku OQ ikitajwa kusambaza shehena hizo na Hass ikisimamia usafirishaji wa ndani. Aidha, kuna taarifa kuwa shehena nyingi za mafuta ya transit zilizohusishwa na Vitol, Namaro na TPDC zimeendelea kubaki kwenye matenki nchini Tanzania zikiwa zimewekewa zuio la kifedha (financial hold), jambo linaloibua wasiwasi kuhusu ufanisi wa mfumo mzima wa biashara ya mafuta nchini. Maswali mazito zaidi yanazuka kuhusu zabuni ya kipindi cha Septemba hadi Desemba, iliyofanyika tarehe 29 Mei.  Kwa mujibu wa taarifa zilizopo, Namaro ilipewa zabuni ya kuingiza shehena moja ya dizeli kila mwezi kwa masharti yaliyoelezwa kuwa ya kipekee.  Aidha, kuna taarifa kuwa baada ya kelele mitandaoni, Serikali ilianza kutafuta namna ya kufuta zabuni hizo, lakini ikakumbana na changamoto kutokana na kile kinachodaiwa kuwa ni makubaliano ya malipo ya awali (prepayment) yaliyofanywa kati ya wahusika. Vile vile, katika zabuni hiyo, kampuni chache pekee, Sahara, Namaro, Addax na Augusta ndizo zilialikwa kushiriki. Inaelezwa kuwa  shehena zote nne za dizeli zilipewa Namaro, huku shehena 14 za petroli zikigawanywa kwa kampuni zilizobaki kwa sharti la kununua mafuta kutoka Vitol. Inasemekana  Sahara ilikataa kufanya biashara na Vitol na ikaruhusiwa kununua kutoka Reliance badala ya wasambazaji wengine kama Aramco. Mimi najiuliza kwanini zabuni za kimkakati zinaendelea kuzungukwa na malalamiko ya upendeleo na ukosefu wa ushindani wa haki? Kwa nini mfumo unaopaswa kulinda maslahi ya Watanzania unaonekana kuwanufaisha wachache huku ukidhoofisha ushindani wa Tanzania kama lango la biashara ya mafuta katika soko la kikanda? Watanzania wanastahili ukweli. Wanastahili uwazi. Wanastahili mfumo wa zabuni unaotanguliza maslahi ya Taifa, si maslahi ya watu au kampuni chache.  Rasilimali za Taifa si mali ya kikundi cha watu; ni mali ya Watanzania wote.
Licha ya kelele zote za umma kuhusu ufisadi katika sekta ya mafuta, hali inazidi kuwa mbaya zaidi. Chura kiziwi kawa kiziwi kwelikweli. Taarifa zinazozunguka kwenye sekta hiyo zinaeleza kuwa biashara ya mafuta ya transit kupitia Tanzania imezidi kudorora. Kqmpuni za mafuta (OMCs) za Rwanda, Burundi na Malawi zilikataa kuchukua mgao wao kupitia mfumo wa Bulk Procurement System (BPS) kutokana na gharama kubwa za ununuzi. Badala yake, zilitafuta idhini kutoka kwa serikali zao kuagiza mafuta kupitia utaratibu wa private cargoes, huku OQ ikitajwa kusambaza shehena hizo na Hass ikisimamia usafirishaji wa ndani. Aidha, kuna taarifa kuwa shehena nyingi za mafuta ya transit zilizohusishwa na Vitol, Namaro na TPDC zimeendelea kubaki kwenye matenki nchini Tanzania zikiwa zimewekewa zuio la kifedha (financial hold), jambo linaloibua wasiwasi kuhusu ufanisi wa mfumo mzima wa biashara ya mafuta nchini. Maswali mazito zaidi yanazuka kuhusu zabuni ya kipindi cha Septemba hadi Desemba, iliyofanyika tarehe 29 Mei. Kwa mujibu wa taarifa zilizopo, Namaro ilipewa zabuni ya kuingiza shehena moja ya dizeli kila mwezi kwa masharti yaliyoelezwa kuwa ya kipekee. Aidha, kuna taarifa kuwa baada ya kelele mitandaoni, Serikali ilianza kutafuta namna ya kufuta zabuni hizo, lakini ikakumbana na changamoto kutokana na kile kinachodaiwa kuwa ni makubaliano ya malipo ya awali (prepayment) yaliyofanywa kati ya wahusika. Vile vile, katika zabuni hiyo, kampuni chache pekee, Sahara, Namaro, Addax na Augusta ndizo zilialikwa kushiriki. Inaelezwa kuwa shehena zote nne za dizeli zilipewa Namaro, huku shehena 14 za petroli zikigawanywa kwa kampuni zilizobaki kwa sharti la kununua mafuta kutoka Vitol. Inasemekana Sahara ilikataa kufanya biashara na Vitol na ikaruhusiwa kununua kutoka Reliance badala ya wasambazaji wengine kama Aramco. Mimi najiuliza kwanini zabuni za kimkakati zinaendelea kuzungukwa na malalamiko ya upendeleo na ukosefu wa ushindani wa haki? Kwa nini mfumo unaopaswa kulinda maslahi ya Watanzania unaonekana kuwanufaisha wachache huku ukidhoofisha ushindani wa Tanzania kama lango la biashara ya mafuta katika soko la kikanda? Watanzania wanastahili ukweli. Wanastahili uwazi. Wanastahili mfumo wa zabuni unaotanguliza maslahi ya Taifa, si maslahi ya watu au kampuni chache. Rasilimali za Taifa si mali ya kikundi cha watu; ni mali ya Watanzania wote.

About