kiongozi amesema vizuri sana lakini nivizuri zaidi mfugaji kujifunza kutengeneza chakula cha kuku mwenyewe ili kupunguza gharama za malisho ambazo ndizo zinachukua sehemu kubwa ya gharama ili kutengeneza faida ya kutosha na uhakika kwa mahitaji ya soko
2026-08-20 06:11:06
1
Emanuel Timoth :
uongo mkubwa
2026-08-22 09:38:47
0
user9596555277456 :
niunge
2026-08-16 14:36:58
0
LC 300 Series :
kuku wangu wamefika mda wa kutaga ila hawatagi ni saso
2026-08-03 08:44:20
0
sirmdachi :
mnapatikana wp!!?
2026-08-05 20:23:06
0
Mwana wa Mungu :
mie naomba kujua wanatakiwa kuwashiwa taa kwa mda wa miezi mingapi na chakula nawawekeaje yaani ratiba ta asubuhi na jioni
2026-08-03 19:41:13
0
Ainesmgimbwa :
halafu ukiwalisha vifuko 9 hapo nimpaka miez 3 jeutauzaje
2026-08-04 16:31:07
0
mbengale :
niunge
2026-08-04 18:37:43
0
To see more videos from user @official_papaambalamwezi, please go to the Tikwm
homepage.