@kiswahilitvonline: Ushauri wa bure kutoka kwa Mzee baada ya kuulizwa "Ni ushauri gani bora zaidi ambao umewahi kupewa au ungependa kumpa rafiki yako?". Yeye akajibu moja kwa moja: "Acha kusugua meno kila siku, kama hakuna mtu atakayekubusu. Unapoteza tu dawa ya meno." Wazee wa zamani walikuwa hawajitii mawazo ya kuswaki kila siku uchaguzi ni wako sasa!🤔 👇👇👇 Unakubaliana na ushauri wa huyu mzee?