@jumbatv.tanzania: Listen to this... Follow for more! #tiktoklive #livehighlights

JUMBA tv TANZANIA
JUMBA tv TANZANIA
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 03 August 2026 00:02:34 GMT
32877
2078
65
171

Music

Download

Comments

user2045481837170
Pastor :
aliyekuja baada ya Yesu ni Roho Mtakatifu Matendo 2:2-4
2026-08-03 05:51:01
4
mohamedkazema
Moraka :
Sio kweli kwamba Maana ya jina Muhammad ni sawa na maana ya jina Ahmad, Muhammad maana yake ni Msifiwa na Ahmad maana yake ni Anayesifu.
2026-08-03 05:47:42
4
fazil.feisal
fazil feisal :
Hii itakua imeeleweka kwamba wanae takiwa wamfuate ni AHAMAD.na hatuwalazimishi
2026-08-03 05:01:47
6
hawaabuu7
mim12 :
sallallahu aleihi wasallam
2026-08-03 07:49:23
5
user5135971592120
Millicent kathoni :
Ni kitabu kipi nksome mm mwenyewe
2026-08-04 08:24:48
1
yomboyusufyousuf
yomboyusufyousuf :
Isa hawezi kumtabiri Muhammad kwa sababu hawako kiwango kimoja musa ndiye aliye mtabili nabii mtukufu wa nduniya nzima mu A ni tofauti
2026-08-03 05:44:11
2
maxb4628
maxb :
asante babu
2026-08-03 08:55:35
2
mwambemsaftz1
mr abitun❤️ :
masha allah
2026-08-03 13:53:50
2
magesa.ryoba
Magesa Ryoba :
isa si Yesu
2026-08-03 14:18:28
1
user55814992428684
user55814992428684 :
muendelezo shekh
2026-08-04 09:36:18
0
kisuraa2
@kisura2 :
sawa
2026-08-03 12:42:41
1
rashidkhamis77
BIN KARWA(*^^*♥️♥️♥️♥️ :
asnt shekhe wngu
2026-08-03 20:44:01
0
dad101273
dal001 :
😂😂😂 Yesu kaongea kwenye Quran wakati Quran haikua wakati Yesu alikuwa Duniani?
2026-08-03 05:40:27
1
user2045481837170
Pastor :
kwani jina la Muhammad na Ahmed ni moja au ni majina mawili tofauti kwenye kitambulisho chako kimeandikwa Mazii au mazinge ukiandika mazii itaeleweka...?
2026-08-03 05:50:03
0
shaheed.mashaka
Shaheed Mashaka :
jawabulake lipo hapohapo inapoelekea aya "alipowaijia kwa ubainifu wakasema huu niuchawi uliodhahiri"maneno haya "alipowaijia"aliteremka kipindi chantume muhammad ndani yaquran ,kabla yakuja ahmad mirza ghulam takriban kwamiaka elfutatu namamia.nahoja hizozilitolewa nawayahudi wakishangaa kutimia kwautabiri wa issa juu yamuhammad.najina ahmad nimiongoni mwa majina 99 ya mtume wetu najinahili ndilo lakwanza kupewa namamayaje mzazi kisha babu yake akamuita muhammad kwanafasi yake yaupande wababa likatumika zaidi hilo muhammad.ilamajina yite ahmad na muhammad nisawa kimaana na kimasdar.
2026-08-03 21:04:32
0
user1245520661806
user1245520661806 :
hizo ni vitabu gani Tena ISSA sio yesu christo
2026-08-04 13:58:53
0
mwinyihaji40
Allah Jabar :
kafanye kazi bana
2026-08-03 20:03:42
0
user4437267239551
Kimwaga :
Folo baki
2026-08-03 08:37:59
0
zuuh.mashakaa
hakimu hakimu :
😁😁😁
2026-08-03 17:45:03
0
mupenzi.isaac.mwa
Mupenzi Isaac mwanafunzi :
🥰
2026-08-03 19:16:06
0
quibuana.bilar.ac1
Key=by Marine 🇲🇿 :
👏👏👏
2026-08-03 08:33:48
0
abdul.s.n
Abdul nurie 🇹🇿🇯🇵 :
❤️❤️❤️
2026-08-03 01:58:57
0
dullahmjema235
Rayyan mjema :
@Dullah Mjema:YOHANA 20:17_ mama usinishike mana sijapaa kwenda kwa baba lakin nenda kwa ndugu zangu ukawaambie napaa kwa baba yangu nae ni baba yenu na mungu wangu nae ni mungu wenu MATHAYO 11:29_ nitieni Mila yangu ili mjifunze kwangu kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa mungu LUKA 6:12_ ikiwa siku zile aliondoka akaenda mliman kuomba akakesha usiku kucha kumuomba mungu YOHANA 9:17_ basi wakamwambia yule kipofu mara ya pili, wew wasemaje katika habar zake kwa vile alivyo kufumbua macho? akasema ni nabii YOHANA 4:19_(mwanamke msamaria) akisema kwel wew ni nabii MATENDO 2:32_ yesu huyu mungu amemfufua na sisi sote tumashahidi wa hayo YOHANA 8:40_ lakin sasa mnatafuta kuniua mimi mtu ambae nimewaambia iliyo kweli nilio sikia kwa mungu TIMOTHEO 2:5_ Kwa sabb mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya mungu na wanadam ni mmoja, mwanadam kristo yesu; MATENDO 2:22_ yesu wa Nazareth, mtu aliye thibitishwa na mungu kwenu kwa miujiza WARUMI 13:23 MATENDO _ katika uzao wake mtu uyo mungu amewaletea Israel muokozi Yani yesu kama alivyo ahidi mungu 1 YOHANA 17:3_ na uzima wa milele ndo huu wakujue wew mungu wa pekee na kweli na yesu kristo ulie mtuma YOHANA 14:24_ neno mnalo lisikia sio langu Bali ni la baba aliye nituma YOHANA 14:28_ Kwa sabb naenda kwa baba kwa maana baba ni mkuu kuliko mimi wakristo wanao amn yesu ni mungu haya MAANDIKO amyaoni? na Kwan yesu ni dini gan? na kwann bas muwe tofaut kuwe na wajuma pili na juma mox na wote mnamfuata yesu? mzungu katuchanganya siku haianzii katkat inaanza juma mox, juma 2, juma 3, juma 4, juma 5, alhamx na ijumaa, apo siku alio pumzika yesu ni siku gan? utapata ijumaa na ijumaa imetajwa mara 13 katika QRN
2026-08-03 06:19:19
0
To see more videos from user @jumbatv.tanzania, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About