@victor_mwambene: ๐๐, ๐ฎ๐ง๐๐ฐ๐๐ค๐๐ณ๐ ๐๐๐๐ ๐ฅ๐๐ค๐ข๐ง๐ข ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ก๐๐ค๐ข๐ค๐ ๐ฎ๐ฆ๐๐๐ก๐๐ ๐ฎ๐ ๐๐๐ฎ๐ค๐จ ๐ฌ๐๐ก๐ข๐ก๐ข? ๐ค . Watu wengi wanawekeza UTT bila kuelewa tofauti za Mifuko yake, na mwisho wanachagua mfuko usioendana na malengo yao. . Kwenye video hii nimekueleza mambo muhimu ya kujua kabla hujawekeza UTT. . Comment neno โUTTโ nami nitakutumia DM/Inbox video 2 zitakazokusaidia: . โ Kuelewa kila mfuko wa UTT (Ipo Mifuko 6). . โ Kuchagua mfuko bora unaokufaa kutokana na Malengo yako, Kipato chako na Utayari wako wa Kuvumilia hatari. . ๐ Pia unaweza kujifunza zaidi kupitia vitabu vyangu: . 1. Akili ya Fedha . 1. Kanuni 20 za Fedha . 1. Jinsi ya Kuanzisha na Kukuza Biashara . 1. Nguvu ya Kujua ๐ฐ Kimoja: TZS 25,000. . ๐ Agiza kupitia: 0744 126 640 @moneytalk_tz . @BiasharaSoft