@badson.74: Watu wengi huingia kwenye sekta ya madini wakiamini siri ya mafanikio ni kupata eneo lenye dhahabu. Ukweli ni kwamba, mafanikio huanza kwa maarifa, si kwa bahati. Kabla hujawekeza fedha zako, jifunze kuelewa geology, PPM, leseni, gharama za uendeshaji, processing, usimamizi wa mradi na namna ya kufanya maamuzi kwa kutumia data sahihi. Mtaji unaweza kupatikana tena, lakini muda na makosa makubwa ya uwekezaji ni vigumu kuyarekebisha. Mfululizo huu wa “Vitu 15 Ambavyo Ningetamani Nijue Kabla ya Kuingia Kwenye Sekta ya Uchimbaji Dhahabu (Mining)” umeandaliwa ili kuwasaidia wanaotaka kuingia kwenye sekta hii kufanya maamuzi bora na kupunguza hatari ya hasara. Kumbuka: Uwekezaji mzuri hauanzi kwa kuchimba, unaanza kwa kujifunza.
BADSON.74
Region: TZ
Monday 03 August 2026 07:06:18 GMT
Music
Download
Comments
da miss🔥 :
ubalikiwe sana
2026-08-12 08:23:46
0
shija :
Nimekuelewa sana kaka
2026-08-19 21:28:14
0
Dobaaah reality👑 :
nice
2026-08-16 16:11:52
0
Leah mwawalo :
naomba kuongea naww kaka ninashida kaka
2026-08-04 21:44:47
0
Rose William598 :
Sikumoja
2026-08-09 19:18:32
0
Naseeb_dee_official :
upo sahii mkuu
2026-08-09 09:07:22
0
Nat ♥️🥰💯 :
watu wengine mlizaliwa na baraka y pesa😭😭😭
2026-08-05 10:53:31
1
Freddy joseph :
kupata dhahabu huku congo ni raisi ila kupoteza uzima tena ni raisi zaidi
2026-08-12 18:36:53
1
Gee💞 :
kaka
2026-08-08 15:06:28
0
groly musa :
kaka naomba unisaidie kaka angu ulinambia niuze sm lakni mungu ndo anajua kaka nayo ya pia kaka nisaidie kaka angu nakuomba
2026-08-04 14:11:53
0
Gee💞 :
naomb nichek dm kam hutojal
2026-08-08 15:06:42
1
Latiie._🤍🦋 :
Naomba kuongea na ww in private 🙏@BADSON.74
2026-08-03 07:21:20
0
Lucas petro :
😁
2026-08-10 16:02:39
0
To see more videos from user @badson.74, please go to the Tikwm
homepage.