mi serikali Haina msaada n mm ispo kuwa n mm kupambanr Kwa bidii basi
2026-08-04 08:18:02
0
user3201528810629 :
si mnasema haina maana elimu ya Tanzania mbona hatuwaelewi
2026-08-03 15:36:31
4
monyopromax :
ukimsikiliza vizuri utamuelewa huyu mbunge🔥🔥
2026-08-03 13:42:27
1
kingaboy :
mbunge wetu njombe uyu
2026-08-03 20:46:58
1
Amriya Saleh :
Hakuna mkakati wowote wa kisiasa... Serikali imeendelea kuchukua juhudi za ziada kuboresha sekta ya elimu kila leo pamoja na kuboresha maslahi ya walimu wetu... Jukumu la kusimamia wanafunzi sio la walimu pekeyao watoto wengi wanaosoma shule za serikali wazazi hawafuatilii maendeleo ya watoto wao msaada unaanzia nyumbani huo ndio ukweli na sababu nyenginezo..... fanya uchunguzi wako kwa kina halafu ndio uongee acha kufanya siasa usiposhe wananchi.....sisi tumesoma shule za serikali na tumefaulu vizuri mno na mikopo ya chuo tumepewa na serikali
2026-08-04 08:17:48
0
Home of starah🧕🧕❤️ :
Sio kweli
2026-08-04 08:42:04
0
Man h :
du kumbe☺️
2026-08-04 08:47:20
0
Muwarabu :
ndyo watu wakafeli mwaka huu🤣🤣
2026-08-04 08:18:16
0
digerlamavumba4 :
kabisaaaa
2026-08-03 17:58:08
1
To see more videos from user @zungubrand, please go to the Tikwm
homepage.