@emmanuelmbegalo:

fogo
fogo
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 03 August 2026 12:36:50 GMT
36297
1418
246
88

Music

Download

Comments

user7771311189817
super k :
daaaaaa Fogo tutake radhi aiseee😁😁😁
2026-08-04 07:21:14
0
mordinginii
mordingini :
brothers kwel umetisha
2026-08-04 13:59:40
0
brysonmsuya604
msuya :
www mwiz
2026-08-04 06:00:35
0
elikana.juma2
Elikana Juma :
true bro
2026-08-03 17:38:28
0
mswahili38
chidy furniture :
mm mbn Co mwiz kk
2026-08-03 20:53:02
0
fidelis929
FIDELIS_HOME_FINISHING🌍 :
Ungesema Dunia ya Sasa kila mtu ni mwizi ningekuelewa, Sisi mafundi pia tunakutana na maboss wezi, matapeli n.k🔥😳
2026-08-04 09:31:05
6
musasimoni76gmail.com1
sangamusa :
brother brother 🤣🤣🤣🤣🤣🙌
2026-08-04 03:53:03
0
miladok6
milado kisailo :
mafundi magari sio wezi
2026-08-04 07:10:54
2
user1163066636927kamwisi
kamwisi TZ :
sasa kama mnaomba kupunguziwa bei sisi tufanyeje
2026-08-04 04:41:58
3
bonifacearon99
Digalla construction 🪏 :
pamoja na yote hapo kaka nakuunga mkono asilimia 70%.si Kila fundi mwizi hayo yote hutegemea akili ya fundi mwenyewe lakini pia hata boss. 1.kuna fundi mwenye asili ya wizi 2.kuna fundi feki au mwenye akili ndogo ya kufikiria anashawishika 3.kuna fundi akikupa halafu ukaleta bei zako hafanyi kazi Yako huyu hata kukuibia hawezi maana Kuna kaukweli ambako maboss wengi hawamjui 4.Njaa mara nyingi huwafanya wengi kwenda nje ya makubaliano na kujikuta wanaiba bila wao kupenda
2026-08-04 06:29:00
4
user4704447436367chif
Chifu TZ Chifu tz :
kaka unatoha siri ya ufundi sasa
2026-08-04 05:55:04
3
dullah.hassan
Dullah Hassan :
Sio wote kaka na Hao unao wajuwa ngoja nikupe mbinu za kutoibiwana na mafundi wako 1 usijifanye mjuwaji 2 Kubali kushaulika 3 Punguza milio kwenye kupatana kwenu Mahake akuna kitu asicho kipenda fundi kama upande wakulipia material unakuwa umenyooka alafu kwenye mapatano ya ufundi unakuwa mzito kumuelewa nakunzingatia anachokitaka ukiwa na tabia izo Lazima fundi atafute nanma yakujilipa tu Mfano umekwenda dukani kununua nae taa ya sh/= 450,000 Fundiwako unamkomali akufungie kwa 15000 ivi unais sikuengine atakuacha salama uyo?
2026-08-04 09:57:12
1
fundi.baraka
Fundi Baraka :
Uwongo huwooo hakunaa
2026-08-03 14:35:04
6
user961618650167
Joh :
sasa fundi kujenga ananiibiaje na nna shinda site?
2026-08-04 01:11:58
2
nassormasoud153
vijite :
waliokua sio wezi tupo a/c
2026-08-04 07:49:25
0
hassanmakeha
Hassan Makeha :
umeamua kutuchoma kaka 😂😂😂
2026-08-03 22:52:59
2
mwambungu5
P.work shop :
umetuchoma kaka wataelwa
2026-08-03 20:28:25
2
hamady.abbakaly
Hd Decoration :
nipo napga tiz🏃🏽‍♂️🏃🏽‍♂️🏃🏽‍♂️🏃🏽‍♂️🏃🏽‍♂️
2026-08-03 20:47:16
2
gud_luck
G.Black King :
boss anatakiwa atoe Hela nzuri asiibiwe
2026-08-04 04:24:13
6
ndonamtuifundirangi
ndonamtui fundi rangi :
sisi wa rangi hatuibi Fogo😂
2026-08-03 20:25:56
0
benardboaz
Benard Boaz :
Mabos mabahari ndo wanaibiwa.
2026-08-03 20:18:12
1
shebbymakabila45
Shebby Makabila :
tunaiba ila atukabi mtu kinamna tu mwenyew unatoa kbundra
2026-08-04 06:41:29
1
ahmeddully875
DULLY TZY ELECTRICAL GROUP :
unatoa sir sasa
2026-08-03 13:10:46
3
kigahepooltable
kigahe pooltable Mbeya :
hata ukinipa mtaji nijenge nyumba yangu bado nitaiba tuuuuuuu😅😅
2026-08-04 03:02:13
0
abdulmasood54
Abdul mech⚙️🛠️ :
Shida nn kaka 😁😁😂 tushajielewa sasa, but unapaswa kujua nothing impossible under the sun ko yalikuwepo toka mwanzo
2026-08-03 19:44:33
2
To see more videos from user @emmanuelmbegalo, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About