@hopnews_tz: ๐ ๐ก๐๐ง๐๐๐ ๐ฅ๐จ๐ญ๐จ๐๐จ ๐ฆ๐๐ฅ๐๐๐๐๐๐ก๐ ๐ช๐๐๐๐ง๐ ๐ก๐๐ก๐ฌ๐ ๐ก๐ ๐ ๐๐๐๐๐ก๐ง ๐๐๐ฅ๐จ๐ฆ๐ ๐ ๐ก๐๐๐๐ก๐ฌ๐ ๐๐ช๐ ๐๐๐๐๐๐ข๐ฃ๐ง๐ Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali haitatoa ruzuku kwa Sekta ya Madini kwa sasa, akieleza kuwa Wadau wa sekta hiyo wana uwezo wa kujiendesha na hivyo hakuna ulazima wa Serikali kutoa fedha za kuwasaidia. Rais Samia amesema hayo leo Agosti 3, 2026, wakati wa uzinduzi wa Nyenzo za Utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 uliofanyika Ikulu, Jijini Dar es salaam. Akizungumza na Wadau wa sekta hiyo, Rais Samia amesema baadhi yao wana uwezo mkubwa kifedha kiasi cha kufanya harusi kwa kutumia helikopta, hivyo haiwezi kuwa sahihi kwa Serikali kurejesha fedha wanazochangia kupitia kodi kwa mfumo wa ruzuku. โUnataka ruzuku itoke Serikalini wakati nyinyi wenyewe ni magiant, harusi mnazifanya kwa helikopta, halafu kile kichache mnachotupatia kwa ajili ya miundombinu tuwarudishie? Hii hapana, naikataa hapa hapa,โ amesema Rais Samia. Hata hivyo, amesema Serikali itaendelea kuwekeza katika maendeleo ya sekta hiyo, ikiwemo ujenzi wa Soko la Kimataifa la Madini, ambalo amesema linaendelea kufanyiwa kazi.
Hopnewstz
Region: TZ
Monday 03 August 2026 12:47:31 GMT
Music
Download
Comments
ZAX OG OUTFIT :
wakatolo washatupoza jmn
2026-08-03 15:55:00
33
Saidat :
Madhara ya kufanya vitu kwa sifa ndio hii sasa...
2026-08-03 13:39:21
19
benadeta :
hv mama kumbe upooo
2026-08-03 15:17:53
17
charz mtuPori :
sifa zimewaponza na wengine
2026-08-03 13:43:50
17
cut Isabella :
hee! watu wasifurahie ndoa zao?๐ณ๐ณ
2026-08-03 14:12:23
11
suncheez :
hapa hatuna kiongozi๐๐๐
2026-08-04 06:26:04
1
alice :
๐๐๐๐yaani hii nchi tafuta ela kwa Shida ila usifrahie
2026-08-03 14:52:17
17
Salome collection :
Msitupagie jinsi ya kufurahi hujui tumesota kiasi ngani?
2026-08-03 16:25:20
15
Haruna nuru :
msipangie watu jins yakutumie pesa zao
2026-08-03 17:57:26
2
Muu :
mm naomba apunguze asimilia ya payee
2026-08-03 15:06:48
6
user1635615184855 :
sasa mkuu wanaofanya sherehe na izo edipota n wananchi wako wote usiangarie mtu mmoja mmoja n watu wachache wanaofanya ivyo CYO wote usitoe izo ruzuku
2026-08-03 15:53:31
5
donjohnson_17 :
Watu wa katoro wametukosesha Ruzuku dah๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐
2026-08-03 18:53:56
2
Elisha Samwel :
mpenda sifa haogopi hasara.
2026-08-04 04:15:56
0
mage :
2026-08-03 13:48:31
0
Imakulata Onesmo :
helcopta tu???????????????????????? mh
2026-08-04 04:22:17
0
dee :
saiv akuna mambo ya ruzuku wkulima hp kazi hipo
2026-08-03 15:12:54
1
maikor :
katoro walipe den la taifa
2026-08-04 01:38:12
0
suncheez :
Tz tunatia aibu๐๐
2026-08-04 06:26:21
0
BBM437 :
wakasaidiyane wenyewe kwa wenyewe
2026-08-03 18:19:10
0
baraka mbughi :
jaman mbona kama mama hela za katoro zinamuumiza bas wakulima tumeingiliwa kununua mbolea kilo 50kwa laki
2026-08-03 18:22:31
0
๐๐ข๐ง๐ ๐๐๐
๐ข๐ซ๐ฌ๐ญ๐๐๐๐ซ :
hajApenda
2026-08-03 19:45:46
0
pretty ๐ ๐ :
ila bongo aaaah
2026-08-04 16:54:45
0
esterlyimo532 :
kwani tunanyimwa ruzuku sisi hata ndoa hatuna
2026-08-03 19:11:01
0
Offically @mmy :
GsM ushatuponza
2026-08-03 18:35:22
0
user3658815433594 :
upoo vizuri uduguuuu
2026-08-03 14:17:58
1
To see more videos from user @hopnews_tz, please go to the Tikwm
homepage.