Kutokana na utukutu wa watoto wa2000 kutoskia wanachoambiwa na kufanya wanachojua wao inawezekana pia kuna laana inatembea juu ya karne hii kuna wazazi now wameongea mpaka presha na madonda ya tumbo naamini kuna wazazi wanalizwa kila siku na watoto wa karne hii , so ni kumrudia Mungu na kuachana na ya dunia ili kuomba toba Mungu hawezi kuwanusuru yani kiufupi hata Mungu anatoa adhabu kutokana na yanaoendelea karne hii Mungu tulindie wadogo zetu🙏 tutakufa wote lakn hii imezd jamani ni watoto wadogo tu vifo vya ajabu na ghafla
2026-08-04 06:36:47
6
1717🦋 :
Mick mick mick siwezi kuamini baba angu mpaka nikuone uliniita tu mazuzi ulitaka kuniaga ila umenikosha michael siwezi kukusahau umeniacha pemeangu mick😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭dah
2026-08-04 10:11:07
1
Prisca J❤️ :
Alikuw anaumwa??
2026-08-03 16:26:59
2
- :
amefariki lini na msiba uko wap nielekeze nifike kaka nilisomanae kaka
2026-08-04 00:53:48
2
imma :
mungu anahusikaje hapa wazee
2026-08-04 09:14:02
1
Dr.dodo home solutions :
nilimuona juzi Tu barabarani na gari yake ya wazi
2026-08-03 15:24:15
15
Jojo cute 🥰 🍒💸🐦🔥 :
Looooo jmn mwanao hutamuona nae hata muona baba pole sana nimapema jmn 😭😭😭😭😭
2026-08-04 07:58:17
0
Baba imran :
dunia njiaa darr
2026-08-04 06:45:07
0
J ❤️ :
Jamn mm siamin 😭
2026-08-03 14:41:20
4
Machinist :
Ni jana tumesaliamiana ukaniambia upo leo hii dah! Mbele yako nyuma yetu Mungu akupe pumzko la milele na akupunguzie adhabu ya kabur 😳😳
2026-08-03 16:19:27
5
abdulqadirkibassa :
JAMAN UYU DOGO NIMEMFANISHA AU VIPI NAKUMBUKA KITAMBO KAMA ALIISHI MWANZA KABLA YA GEITA