Job was tortured and he still had faith in God hiyo wimbo huwa naomba Kila siku asubui bana na huniguzaa
2026-08-03 20:14:02
0
TinahPius :
finally i heard this be blessed servant of God
2026-08-04 09:00:49
0
The Global problem solver :
Wow, this is the message I was need to hear today♥️♥️Thankyou Lord
2026-08-03 19:52:56
0
PBM blessed :
bible has various coaching
2026-08-03 19:58:11
1
peacebisimwa :
woooow woooow wooow woow🔥🔥🔥🔥🔥🔥
2026-08-04 05:56:34
0
Zuri :
asante 🙏 🙏
2026-08-03 18:58:36
0
Emanuel Mbise :
mzee achana na nyimbo za watu, nakukubali ila Kwa hili🤔🤔🤔🤔
2026-08-03 19:48:42
6
phinah :
Tutaimba mpaka na sis tuvuke Salam ktk Jina la Yesu 😌
2026-08-04 12:44:53
1
kisura :
Na wewe hayo unayosema yameandikwa wapi mwanetu.
Mi nimeuiza tu lakini...
2026-08-03 18:48:47
4
𝐄𝕝𝕚𝕒'𝕤 𝐒𝕥𝕖𝕧𝕖𝕟 :
samahani. ingawa shetani hataniseta ni TE Zi usiingilie izo nyimbo za vitabuni tafathari mwanadam lazima apitie majaribu na iyo inamaana ya kumtia moyo
2026-08-03 19:22:26
3
Ashlee Issah :
Exactly kumbe huwa nipo sawa kuna manyimbo siimbagi kwa kweli
2026-08-03 17:53:30
10
user2961580755863 :
kweli kabisa mtumish
2026-08-04 13:01:44
1
mandewe :
Duniani shetani anatesa watu wa Mungu kwa vikwazo vingi, lkn watu wa Mungu wanajipa moyo wakiamini Mungu yu upande wao.
2026-08-03 18:06:27
5
OLE JAMES. :
Nakubaliana na wewe mwalimu sana tena sana kwa baadhi ya nyimbo ila hiyo ya ingawa shetani ataniteseka mbona kama ni sawa maana naamini waliteswa, wakajipa moyo mpaka siku wamefika kwako ukawasaidia wakapona. Lakini pia sidhani kama ni rubbish kwa wale wanazotumia labda kwako kwa namna ulivyofunuliwa. It is just my view.
2026-08-04 07:33:50
1
glorious🎻💸 :
Ata mimi kuna nyimbo nikiimba nabadilisha baadhi ya maneno.
2026-08-04 10:42:44
2
malikiarecho :
Na hili ndilo neno la leo Asema BWANA Sema Ameeni
2026-08-03 19:03:04
2
pascalbenard04 :
Lakini huo wimbo hata wewe uliukuta pengone kabla hujaokoka munatuchanganya wachungaji kila mtu anahubiri yanayomjia kwenye kinywa chake
2026-08-04 05:04:19
0
Kidott Dodoma :
mnatuchanganya nyie
2026-08-03 19:53:51
2
Judy Jidenna Judy :
Bora Bora MUNGU ametulete huyu mwalimu..👏👏thank you God 🙏🙏
2026-08-03 18:01:47
2
chanilacosimas :
kwahyo alipo sema tuimbe zabur na tenzi.haifai au hizo ziliimbwa enzi hizo.swali jamani.ukiokoka hakuna majaribu au mateso.kupimwa kiiman.hyo imekaaje tusaidieni
2026-08-03 18:41:58
0
kakuh :
ubarikiwe baba
2026-08-03 16:15:52
1
Israel ✝️🕎✡️ :
siyo kila mtu atakuelewa mtumishi
2026-08-03 20:19:42
3
Regina Rutazamba :
Watumishi wa sasa mnajua kutuchanganya, sasa unafikiri mafundisho haya yatawafikirisha nini watu? Huyu mtumishi anafundisha vyema, lakini sometime anasagia watu, usinange watu utawapoteza kondoo, hiyo sasa ni miruzi mingi, watu wapo wenye mateso sana tu.
2026-08-03 18:26:47
1
mayrah :
ameni
2026-08-03 15:46:08
1
julius jjj :
Amina
2026-08-03 15:54:34
0
To see more videos from user @emmanuel69973, please go to the Tikwm
homepage.