@allanwalestz: WAZAZI/MLEZI MTOTO ANAWEZA KUKUPELEKA KUZIMU Mwj. Allan Wales (+255) 0710679104

allanwalestz
allanwalestz
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 03 August 2026 17:58:39 GMT
41087
2463
183
428

Music

Download

Comments

maryannewanjiruchege
MARYANNE TRIBELESS 1707 :
Matthew 28:18-20
2026-08-07 06:54:12
2
user9044757986256
usenova@@ kibar9044757986256 :
wambie Maha mmmmmh
2026-08-06 15:14:29
0
jemima.queen54
jemima queen54 :
don't judge Jesus is a judge
2026-08-04 01:31:15
4
letisha534
beautiful angel :
he is not judging,,,,he is giving you message and reminding you the message of God
2026-08-04 11:18:41
7
lilianekapitula
Liliane Kapitula :
Ubarikiwe mtumichi wa Mungu .asante sana.kwangu binafsi naku chukuru😭😭😭🎺🎺🎺🎺bwana Yesu ana rudi karibuni ...Mwenyezi Mungu atu saidiye sana😭🤲
2026-08-04 06:25:19
17
user29266254854145
user29266254854145 :
watakao chukia hao ndo mawakala washetan nimeipenda san ksk yangu❤️❤️
2026-08-04 07:16:40
6
priscahfaustine
Ms 💗 Faustine :
kiufpi tu Mungu atusamehe kiukweli
2026-08-04 21:47:35
5
maestrocr3
Yasmin Saidi :
nikweli.kabsa.mtumishi.wa.mungu
2026-08-03 18:10:50
8
mkwaji.msyangi
kitukuu cha Matoti :
rudia sana masomo ya mavazi mtumishi nimekupenda sana na ubarikiwe sana
2026-08-04 13:16:12
7
janipherr_mshaki
Janipher_Mshaki :
tumejisahau sana mtumishi
2026-08-04 04:52:14
3
user973053828784
marycosmetics :
Na mind you mzazi unaweza sababisha mtoto akahukumiwa kupitia ww mwenyew maandiko yameandika wazi wakubwa na wadogo watasimama mbele ya kiti cha hukumu. Je hao wadgo wanatokea wapi?. Ni bora kutokujifanya tunahekima katika kila kitu. Tuangalie neno linavyosema tusifanye mambo et kwa sababu tupo kwenye neema.
2026-08-06 07:41:57
1
mutheu672
Annie 🥰 :
Asante sana mtumishi ubarikiwe sana 🙏
2026-08-04 09:50:21
5
fundi881
amplifier pcb circuits :
ni kweli waambie binadamu wajuaji sana hawataki kuambiwa ukweli
2026-08-04 01:55:15
6
prisca63074
prisca :
kweli mtumishi twambie wazaz ili tupone au mnasemaje wazazi
2026-08-05 05:51:50
2
yoshuayoshua79
Yoshua Yoshua :
ni Somo Zur San ubarimiwe mtumish
2026-08-04 06:39:04
5
srilaah
srilaah :
yaan nasoma bibilia yaan sahv kila nachofanya naona ni dhambi dahi Mungu aniongoze.
2026-08-04 05:22:07
5
user158803086549
0768686798 :
kabisa pasteur
2026-08-04 04:42:48
2
user3020355204061
suzana :
Amina
2026-08-04 22:18:53
0
bushie910
Bushie :
Hapana ✋🏽kumvalisha mtoto vibaya au kwa mavazi yasiyo ya heshima hakumfanyi mzazi apoteze wokovu au aende jehanamu.Wokovu hautegemei mavazi, bali imani katika Yesu Kristo (Waefeso 2:8–9). We jamaa kinachoamua hatimayako ya milele ni “ Uhusiano wako na Yesu Kristo”. Kwanza Mungu anaangalia” Moyo sio sura ya njee” ya pili Yeremia 18:1-6, haizungumzii kuhusu “ Mavazi”. Ni kweli mzazi ana influence kwa mtoto, lakini Yeremia 18 haimfanyi mzazi kuwa mfinyanzi kama Mungu. Huo mfano ni wa mamlaka ya Mungu juu ya wanadamu, si wa wazazi juu ya watoto. Biblia pia inaonyesha kila mtu ana uwajibikaji wake mbele za Mungu (Ezekieli 18:20). Kwa hiyo huwezi kusema mzazi ataenda jehanamu kwa sababu ya mavazi ya mtoto,hiyo si exegesis ya maandiko.
2026-08-04 08:11:06
2
jay_jay.seaman
Jay_jay seaman :
AMEN 🙏
2026-08-04 09:15:10
1
johnmashuda
johnmashuda :
nikweli kabis
2026-08-04 06:15:50
1
nesi.wa.kitaa
nesi wa kitaa 🤴🤴🤴 :
mi bora aje ayafanye mwenyewe
2026-08-04 05:49:58
2
lilianekapitula
Liliane Kapitula :
Amen🙏
2026-08-04 06:31:51
2
dominickibagendi3
Dominic Kibagendi :
nimesikia,, nina masikio maonyo kutoka kwa mtumishi wa Mungu
2026-08-04 13:06:28
2
mfarijiconsolant
Mfariji Consolant :
asante sana🙏🙏🙏🙏🙏
2026-08-04 12:38:40
2
To see more videos from user @allanwalestz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About