@nasseraltaie.media: — Wakazi wa Zanzibar wanakabiliwa na changamoto kubwa ya uhaba wa sukari, ambapo kiasi kidogo kinachopatikana kinauzwa kwa kificho kwa hadi Sh5,000 kwa kilo moja. Hali hii inajiri huku kukiwa na madai kuwa baadhi ya wafanyabiashara wanaficha bidhaa hiyo wakisubiri kupanda kwa bei, wakidai kuwa bei elekezi iliyowekwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) haihimili gharama za usafirishaji. Kwa mujibu wa bei elekezi ya SMZ kupitia Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda: Mfuko wa Kilo 50: Sh110,000 Kilo 1: Sh2,500 – Sh3,000 Mmoja wa wakazi wa Magomeni, Fauzia Ali, ameeleza namna alivyohangaika kutafuta sukari kwenye maduka kadhaa kabla ya kuipata kwa Sh5,000 kwa kilo na kuwekewa ukomo wa kununua usiozidi kilo mbili tu. #Zanzibar #Unguja #Sukari #Tanzania #Habari
Nasser Altaie Media
Region: TZ
Monday 03 August 2026 18:32:00 GMT
Music
Download
Comments
mshua :
Kile kiwanda Cha mahonda hakina faida yoyote
2026-08-04 03:32:23
7
Bayser :
Zanzibar sipana kiwanda cha sukari pale mahonda inaenda wapi?
2026-08-04 11:47:14
4
mohammed :
alhamdulilla mie sio mpenzi kabisa wasukari kwangu haina Faida wa mie sio mpemzi wa Chai ya sugar 😁 Boro iuzwe
10000 au 15,000
2026-08-03 20:32:23
3
user618849458682 :
wanawauzia vichogo hatutaki
2026-08-04 16:33:09
0
rayshkeykeyraa :
hiz ikuwa ni njama za kuigharim znz ili sukar iwe Sawa na Bara
2026-08-04 04:28:31
2
user44694080743112 :
sio kweli had jana sukar kilo elfu 10
2026-08-04 03:56:22
1
MH Mdee :
miwa inalimwa zanzibar mahonda miwani ila leo kilo ya sukari zanzibar Alfu 5,000 kweli hii ni sawa na kitu kinacho hitajika kisi adimike zanzibar ni sukari Dah haya maisha tutaishi mpka lini 🥺😢
2026-08-03 22:41:49
1
Mohammedreyda :
Viongozi tunawaomba mlidhibiti hili
2026-08-04 16:02:01
0
nameless🇧🇳🇹🇿 :
Sijui napikia nini hiyo sukari niseme tu ukweli 🤣🤣🤣🤣🤣 hata chai sipendi
2026-08-04 09:05:43
2
Mr Fix305 :
Sukari yenyewe kwanza ina madhara, ⛹️⛹️⛹️
2026-08-04 10:52:50
2
لقمان الحكيم857 :
Kwani si walienda bungeni dodoma wakitetea sukari iuzwe bara kumbe ilikua haitutosh 🤔🤔🤔
2026-08-04 12:15:15
0
Heldar23crf :
Kama hamjui matumizi ya sukari ngojeni ifike EID AL-FiTR
2026-08-04 17:03:11
0
abdillahi muhammadi :
hatujamaliziwa kutengenezwa Barbara tulieni
2026-08-04 10:15:42
1
Hakwa Southern Shirazy, Naqat :
Sukari sio chakula wacha ipotee kabisa
2026-08-04 02:26:50
2
suleishmumcos :
mmhh hata ikafika kilo elf 50000 itakua vzr t
2026-08-03 20:36:12
2
kuchi :
tusiwe wakimya tupaze sauti
2026-08-04 16:17:09
0
Never give up :
sukari tushatoa musiwe na wasiwasi
2026-08-04 16:49:13
0
issasuleima4 :
skari mana isafirisha
2026-08-03 20:50:00
0
abdalla :
tatizo maduka yanayo uza sukari bei ju yanajulikana kwa sababu yapo katika jamii yetu humu mitaani na serekali ipo pote humu wameweka mashekha madiwani na mafoma mbali mbali mitaani mwetu kaziyao ni nini hawalioni hili la wafanya biasha kutumia mwanya wa kuadikaka sukari wao kupata nafasi ya kuwakomoa wanaichi kwa kuweka bei kubwa zanziba hali ya kiuchumi sio nzuri wanazidi kuwapa wanaichi ugumu wa maisha taasisi za kiserekali mnajukumu kubwa kuhakikisha bei ya sukari ipo kwa bei ileile elekezi kuwakamata wote wanao zidisha bei wasilete kisingizio ati gunia kanunua bei juu na wewe usinunue kama gunia bei juu serekali au taasisi msisubiri ati mwanachi mmoja mmoja akuleteeni mashtaka serekali mnawatu wenu mitaani hao nilio wataja hapo juu wanakazi gani au siasa tu kama nime kosea ninaoba radhi SHOKRAN
2026-08-04 06:25:34
0
SHEDRACK :
asubuh kilo 50 ya sukar tumenunua 190000 je tuuze kwa bei gan sasa
2026-08-04 10:58:01
0
HMN :
Mbona uku kwetu ni elfu nne tu
ata km unataka kilo mia moja njoo
2026-08-04 13:25:29
0
saada ❤️ :
mitano tena hayo sote tunayapata sio ya mmoja Huwa tunasahau kama tukilianzisha linatupata sote acheni tujenge nchi kwanza kula baadae tutie chunvi sukari sio shida yetu
2026-08-04 20:08:06
0
🤍🕋رشيد جمعة☪️ :
uko sahih robo
2026-08-04 12:54:00
0
maimuna Vuai :
musijali tutajitahidi kupanda miwa kwa mwingi
2026-08-04 17:00:41
0
Whosam Khamis :
Uongo
2026-08-04 03:41:46
0
To see more videos from user @nasseraltaie.media, please go to the Tikwm
homepage.