@kisiwachamichano: NISIYOYAJUA MAN YA WATU NIMEACHA KUBONGA SIO MAUAJI NIKISEMA NIMEACHA KUNYONGA NA FOKASI NA MICHONGO NIMEACHA KUHONGA UKIACHA WIFE NA WANANGU HOME NIMEACHA WAJOMBA🙌🙌🙌 Ni ukatili na balaa la vichwa hatari katika ubora wao na vesi za kutisha ni shida ingine wakiongozwa na vichwa hatari vya #wafyonso VICHWA VYA JUKWAA KUBWA LA HIPHOP TANZANIA @kinasawazi_mbeya ZINGATIA MICHANO HUWA WANASIMAMIA UKUCHA WAKICHUMA EMBE KWENYE TAWI 🔥🔥KANYAGA TWENDE @msaplyzo @shamlago_mc @un_name255 @southwest_neep @wafyonso_dojo kitaanasanaa
Ushauri, mkishashoot kwenye kuedit muwe mnaandika majina ya wana wanapochana. mfano jamaa wa pili nimetamani kumjua ili nimfuatilie but simjui jina.
2026-08-04 07:02:02
19
BOMA :
ukiacha wife na wanangu home nimeacha wajomba🙌
2026-08-05 16:32:36
10
remmy_ tailor🪡 :
ukinikuta eneo la kazi ni Kama nimeacha kuoga😂🔥🔥
2026-08-04 19:47:51
11
Dyck91 :
wapili ni wamoto sana
2026-08-04 07:41:45
11
alkani :
rapa wa pili anazingatia sn misingi ni motoooo
2026-08-06 06:27:36
7
Nembua_tz :
niagize nipige chorus karee
2026-08-05 03:46:19
0
DALALI_KIGAMBONI_MWEUSI1✅ :
wengne wanapagawa na floor,ila wote wakali no way💯
2026-08-05 06:21:21
8
Kaka Baraka :
mimi ndo yule kule mwisho ni vinawaka viberiti mimoshi kama nipo kilimanjaro
2026-08-04 16:05:04
2
Mđãvã Ťż🇹🇿 :
Km unasema wa pili Tujuane
2026-08-04 07:51:13
4
Abu Darwesh :
jamaa wa pili tunaomba jina lake
2026-08-05 07:23:01
3
Mr B barbershop :
oya wanangu mko wapi mmenifurahisha sana hiphop in my life
2026-08-07 22:32:24
3
August PM :
Mkopoa sana wazee tufanye moja wote wakuu
2026-08-07 19:11:51
2
DODOMA FINEST 🇹🇿🇲🇦 🇸🇦 :
Bila shaka ni mbeya hii naona kabisa kuna ladha za izzo business
2026-08-04 07:47:57
5
Rich Rhymes :
Nishacopy link wanangu
2026-08-06 07:28:13
1
888888888888888888888888888888 :
wapili kuwa kinoma
2026-08-05 18:11:36
2
Madini Waza official 254 :
Noma sana verse ya kwanza na pili🥰
2026-08-06 02:21:32
5
tallstar boy :
wakwanza ndio rapa mzuri wengne amna kitu
2026-08-04 06:13:06
1
Op ally nasso :
oyooooooooh wakali kwanzaaa
2026-08-04 18:19:49
2
Mr Champion 🏆 :
Tunaomkubali mchanaji wa pili gonga like nyingi hapa
2026-08-07 09:55:19
2
Black boy :
Wanangu cha kwanza ni bit ,🔥🔥🔥 alafu wote mnakitu sana ,ila huyo mwana wa pili hafai kabisa👏👏👏 kuna huyo jamaa mwingine wa 3 namna anavyotembea na biting yupo safi kinoma ila hajiamini na sauti yake inamezwa na bit ila anaweza ,Afu uyo rastaman nae kuna kitu ndani yake apandishe sauti kidogo na flow yake kidogo all in all🔥🔥🔥🔥🔥
2026-08-05 05:30:58
3
Wambagala Code :
Hip Hop real Og sio Coppy🔥
2026-08-04 08:22:50
2
Motown Sanya :
Wako wap
2026-08-04 07:59:32
1
Mshamu :
Ukinikuta eneo la kazi ni kama nimeacha kuoga 🔥🔥 jamaa wa pili ni noma jina lake please
2026-08-06 07:53:31
3
jr Parking and Car wash :
mbeya family
2026-08-04 03:26:25
2
Joseph :
walai Atari Sana uyu jamaa wa pili ila wote bigup Sana.
2026-08-04 19:36:46
2
To see more videos from user @kisiwachamichano, please go to the Tikwm
homepage.