kama shida ni piki piki kwa nini watupe mzigo kwenye mtaro ni shiria ipi hiyo inamuelekeza police kufanya hichi alichofanya 😭😭wanatakiwa kujua Kuna maisha baada ya kazi na wengi wanaishi mitaani na huku mitaani wanaishi na watu Hawa Hawa wanaowafanyia hivi ni uonevu huu haukubaliki
2026-08-04 18:28:16
2
innocent :
kwa mazingira hayo,
hapo kuna msafara wa kiongozi mkubwa anapita, nadhan huyo jamaa itakua aliambiwa asimame au apaki pemben akaforce kupita, mwisho wakamtia adabu kwa style hiyo, huu ni mtazamo wng tu.
2026-08-04 18:15:15
2
True love never die :
Aisee nimeumia sana mungu atakulipia ndo mitohaninya kiumeni
2026-08-04 12:21:24
0
Mrs Brayan shelembi👫♥️💯🫂 :
Unakuta kaacha familia yake haina hata chochote jmn dah! inauma sana
2026-08-04 18:13:59
4
waziriitambu :
hawa ndio wasimamia haki watz kweli hatup huru tz
2026-08-04 16:27:23
0
Sadam Issa :
kwann ni kitu gani hicho gunia za nn
2026-08-04 15:25:29
0
mattarstore :
mimi simuachii Mungu nakuroga labda nipate mganga tapeli
2026-08-04 21:26:18
1
Emanuel Mrem :
ndo polis wetu jmn ila ipo ck watajbu mbele za mungu,wakati huo cheo chao hakitowasaidia
2026-08-04 12:20:13
1
Dkt Bernard :
askari na raia ni marafiki
2026-08-04 12:16:01
3
josephkulwa923 :
some time maasikari mnajireteleza kijiweka tofauti na jamii asa mtu hatakama anamakosa ndo mpk mzigo wake mnaufanya vile kweli ?jaman mkumbuke kazi ni dhamana pia dunia duara unaweza kumuona mtu Leo sichichote kesho anaweza kuwa msaada kwako kwanamna moja ama nyingne
2026-08-04 17:22:10
3
user2355637188039 :
hapa itakua NKOLOLO bariadi au vp jmn
2026-08-04 12:01:43
1
brown :
mungu tupe moyo wahuluma sisi sote tunapita tupendaneni
2026-08-04 15:24:58
2
Dickisoni Dickisoni :
kwanza tujue kosa kakosa nini
2026-08-04 17:39:09
0
To see more videos from user @ngwanasato, please go to the Tikwm
homepage.