@madiniplus_: Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka, anawahamasisha wananchi na wamiliki wa nyumba kubadili mtazamo wa kiuchumi kwa kutumia maeneo yao vizuri zaidi ili kuongeza kipato. Anashauri badala ya kumlipisha mpangaji anayelipa kodi ndogo ya takriban TSh 30,000 kwa mwezi (sawa na TSh 360,000 kwa mwaka), ni bora kutumia eneo hilo kufuga kuku takriban 100 wa kutaga. Anafafanua kuwa kuku hao wanaweza kuingiza hadi TSh 30,000 kwa siku, sawa na TSh 900,000 kwa mwezi au zaidi ya TSh milioni 11 kwa mwaka, na hivyo kumpa mmiliki fursa ya kukuza mtaji na kupanua biashara yake kwa haraka zaidi. Video Mchuchuma TV

Madini Plus
Madini Plus
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 04 August 2026 10:24:02 GMT
161505
4635
318
946

Music

Download

Comments

gracemabula24
gracemabula715 :
mhhhh sawa mzee
2026-08-05 09:01:43
0
jom3009
Mr. JOM :
This man is very smart
2026-08-05 05:26:54
0
zuli_zenji
Zuli :
gambling 🤣🤣🤣
2026-08-05 07:48:54
0
ambianzishtuka1234
ambianzi shituka :
biashara nzuri kusimuliwa ingia ndan uwone
2026-08-04 17:16:23
83
ziggy6089
Ziggy :
nikwer
2026-08-04 19:28:25
0
martha.kingu.90
Martha Kingu 90 :
haswaaaaaa
2026-08-04 16:39:55
0
marcoshimiyu
Marco Shimiyu :
hizi biashara ni nzuri sanaa kwenye simulizi hivi😂😂
2026-08-04 18:16:16
21
sam.mallya3
Giantpoultryfarming :
Unachosema Mzee ni sahihi lkn huwezi fuga kuku 100 chumba kimoja. na pia hao kuku wanahitaji uwe na mtaji ili uweze kuwatunza mpk waje kutaga wakuingizie hyo M11 Kwa mwaka. lkn mpangaji haitaji mtaji pia pesa yako ni uhakika unaipokea km ilivyo
2026-08-05 08:00:55
4
maestro____91
THE TRANSPORTER🚘 :
kuku 100 ni million 2 mkuu
2026-08-04 15:52:34
15
lulemuebrania
lulemuebrania :
taja matumizi na garama zahao kuku acheni kujaza watu mbichimbichi bhana
2026-08-04 12:56:02
11
dr__karim1
Dr. Karim :
chakula kwa mwaka anajua kuku wanakula ngapi..? wanatibiwa kwa bei gani, usalama wao wanalindwa kwa bei gani. ukimalkza yoote hayo utajikuta una hasara.
2026-08-04 17:11:32
7
omydulla_01
omydulla_01 :
serikali ya kazi na utu
2026-08-05 08:17:51
1
user78716079453262
mwelu :
kuku mia wanatosha ukitumia cage tena mpaka kuku 160,sema sasa hao kuku wanahitaji chakula ,dawa pamoja na vitamin ili watage vizuri sana sana hapo wanaweza kutoa faida ya 250,000 mpaka 350,000 kwa mwezi
2026-08-05 07:07:33
1
jaguar.one3
jaguar one :
Ametoa wazo tuu sio lazima kuifuata
2026-08-04 16:02:50
7
ripearecu
Morgan auto fix :
Fanya wewe tuone
2026-08-04 19:21:56
1
komanya74
@komanya76 :
mhe mbona kama unawasanua wenye nyumba jaman. uwe na mipaka bas tusje lala nje.😂😂😂😂😂
2026-08-04 20:02:15
2
dundamagaridsm
WAKALI WA MAGARI USED DSM .... :
kideli kwani saiv amna
2026-08-04 19:16:37
1
dr.luka.mkeni
Dr Luka Mkeni :
sasa mkuu, kuku c wanalishwa,kutibiwa na kulindwa lkn mpangaji huitaji hayo yote hizo garama umeshazipiga kabla ya kumtoa mpangaji
2026-08-04 11:14:40
21
saidibago
Saidi Bago :
hayo ni mahesabu yaliyopo tu kwenye maneno twende sasa kwende uhalisia ( vitendo) utaona cha moto 😂😂😂 bro usiamini sana kila unacho sikia kwa influencers
2026-08-05 03:59:47
1
ashiru2502
Ashiruna 002 :
Nisaidieni mtaji wa kuku wa mayai 100 ni shs ngapi mpka waanze kutaga
2026-08-04 19:54:23
1
yao.com33
Yao Yao :
Wazo zuri ila hiyo 11ml hupati. labda wote watage na wasife na washibe Mwanga wa jua
2026-08-04 12:56:43
2
kalundejr6
kalunde jr :
sasa kuku atakaa kwenye chumba kimoja kaka ?
2026-08-04 17:41:24
1
karimkivurugamtum
mtumakin :
sikubalian na ww kiongoz
2026-08-05 06:26:58
1
sasawata09
Jere :
me nina kuku 60 chumba kimoja 2 hawatoshi
2026-08-04 19:15:36
0
raphdavi5
RAPH DAVI :
Yaani kiongozi yoyote wa kile chama sijui akipewa mic inakuaje
2026-08-05 07:21:50
1
To see more videos from user @madiniplus_, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About