@madiniplus_: Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Antony Mtaka, anawashauri vijana kutanguliza uwekezaji kabla ya ujenzi wa nyumba. Anaeleza kuwa badala ya kutumia kiasi kikubwa cha fedha kujenga nyumba mara moja, ni vyema kutumia fedha kidogo kununua mashamba na kupanda miche ya uzalishaji kama parachichi, kisha kuacha mazao hayo yakue kwa miaka michache na kuzalisha faida itakayosaidia kujenga nyumba bila msongo wa mawazo. Video, Mchuchuma TV
this guy is a genius.he is the first tanzanian with such a brilliant brain.
2026-08-04 17:32:54
0
Anneth :
Oops! bad advice Haya Tza 🏃🏽♂️➡️🏃♀️
2026-08-04 20:22:24
0
Magagala :
Asante Kwa ushauri wako..ila mm kipaumbele changu ni kujenga kwanza
2026-08-05 09:17:43
21
Eng. Jastine Kajuga :
Big brain.
2026-08-04 14:54:46
1
queen.norah80 :
Duuh bc mm nishaharibu lkn nimejenga kwa ajili ya mama ang kateseka san nyumba za kupanga Mungu atanipa mtaji zaid ya hapa😭😭❤️
2026-08-05 07:04:26
13
miss dion :
Uko sahihi kabisa ila sitafanya unachosema😂😂
2026-08-05 02:02:37
36
Msukuma Wa Katoro :
motivation speaker
2026-08-04 14:02:04
3
Alreza :
Hela ni za nani mbona tunashauriana tena
2026-08-05 03:39:53
10
jasexpeditions :
Kila mtu na timeline yake babu tusipangiane
2026-08-04 15:01:32
20
Naah :
hususani biashara yangu ya mbao huniambii kitu father 🥰nazipenda Hadi now nalala porini one month 😂siwez lala mbali na miti kabisa..
2026-08-05 05:23:25
5
Ngonifaceless channel :
Nimenunua hekari 200 Namtumbo kwa mil 5 Tu nimepanda korosho hekari 100 gharama jumla mil 7 mwaka 2030 napiga fedha Tu ntakenga nyumba niipendayo
2026-08-04 17:15:46
17
baba isaac :
nimeapa sitakuja kuchokoza ujenzi 😂😂
2026-08-04 18:06:52
7
The Lastborn :
kila mtu na maamuzi yake, mimi kujenga ndo ndoto ya kwanza katika mambo yooooote
2026-08-05 11:45:05
1
Vicent Phidelis :
Maisha hayana formula Kila mtu atapitia njia yake tutakutana mbele kwa mbele....ndo wale ucnunue gari Jenga kwanza...😀😀...nunua gari na kujenga utajenga tuu
2026-08-04 13:42:11
16
Bakary M Mason :
kila mtu na ndoto zake wengine washaa fanya kilimo sana kwao wanataka kubadilisha upepo
2026-08-05 11:27:00
1
jupter :
mtaka yupo sahihi ila watu wengine hamtajua anamaaanisha
2026-08-04 14:32:38
7
Chif Ngote Classc :
mjomba kilamtu na akli yake
2026-08-04 14:40:23
3
BABALAO :
kuna clip nimeona jana eti ekari moja ukilima njegere hamna hamna unavuna gunia 60,,,kwani hii imekaaje wakuu nisije nikauza nyumba yangu alafu kikanilamba😃😄😄
2026-08-05 11:53:20
1
eagle :
mim nimejenga chumba na sebule na choo chanika kwa mil 6 nimeuza 12m utanambia nin.
2026-08-05 10:47:45
1
Kassim Cordovaboy :
wemzee kilimo sio rahisi ivyoo
2026-08-04 16:29:04
1
mahanyu ramadan :
watakao mwelewa huyu mzee niwachache mno
2026-08-04 17:06:03
4
Irmaos :
Jarb ufilisike huwa hawatoi hasara huwa wanaweka Faida tu
2026-08-05 09:43:09
1
yohanabuliba :
ilo soko lipo wapi?uwa mnaongea kirahisi wakati izo kazi nyie amfanyi
2026-08-05 11:19:00
1
To see more videos from user @madiniplus_, please go to the Tikwm
homepage.