@chellaboywiz: Ukweli mchungu: Kila biashara ina FAIDA na HASARA (hilo liko wazi). Lakini hakuna mjasiriamali mwenye akili anayeamka asubuhi, akatoa mtaji wake, kisha akaanza kupanga mikakati ya "jinsi ya kupata hasara". Lengo namba moja siku zote ni kutengeneza FAIDA! Hasara ni matokeo ya mfumo kufeli. Kuna watu wanalalamika kwenye comments wakisema tunaongelea sana faida kana kwamba tunauza 'utapeli', na kwanini hatuongelei hasara. Sikiliza, kama unaanza biashara ukiwaza hasara, tayari umeshafeli kisaikolojia. Biashara ni mchezo wa kuchukua hatari (Taking Risks) na kujaribu mifumo mipya mpaka itikise soko. Kama unaogopa hasara asilimia 100, biashara haikufai, tafuta ajira! Kwenye hii page hatufundishi uoga, tunafundisha MIFUMO ya kupunguza hasara na kumaximize faida. Wanaoelewa somo wapo bize kuchukua madini na kuingiza hela, wanaoogopa wataendelea kupinga kwenye comments! 🧠 🧠

Chella_Boy_Wiz🤟🤟🤟
Chella_Boy_Wiz🤟🤟🤟
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 04 August 2026 17:48:33 GMT
10628
674
19
40

Music

Download

Comments

so_kim5
spark :
awo vijana waaminifu sas pakuwapata
2026-08-05 14:29:42
2
stella.msphe
Stella msphe :
imekaa kitaalam sana
2026-08-05 12:18:23
2
dally04_.tz
dally veer :
kati ya watu wanne nliwafollow wewe n miongon nwao 😂,,, hongera sana unajua
2026-08-05 08:35:35
3
junior.gideon3
JUNIOR GIDEON :
vip kuusu mtaji na upikaji
2026-08-05 11:56:10
0
emsampro
𝐄𝐦𝐬𝐚𝐦𝐏𝚛𝚘 :
biashara msiwe mnaziweka Kwenye calculator fanyeni vitendo
2026-08-04 18:27:44
0
materu.don
Materu Don :
embu anza tuone
2026-08-05 06:37:16
1
femilux3
FEMILUX NAILS 💅 :
Biashara ya kupakaa kucha rangi embu ongerea
2026-08-04 19:08:12
1
unclelee111
Chiriku1 :
yaaan uuze kachori z
2026-08-04 18:33:04
1
eliajustine125
official Elia :
🔥🔥
2026-08-04 18:28:17
1
officialmanager82
Manager :
😁😁😁
2026-08-05 11:57:43
1
To see more videos from user @chellaboywiz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About