Nilikuwa napika ubwabwa sasa nikaonja chumvi haijatoshea, sasa baada ya kuongeza chumvi nikawa naongeza mafuta alafu ndo naonja😂 nashangaa mbona hii chumvi leo haikolei😁😁
2026-08-05 19:42:43
0
Mysalhat🦋 :
nilizani mm nimeanza kuw chizi😂😂😂sahivi hata kwenda dukani naenda nimeandika kwenye karatasi