@hardnewstv: Ukamataji huu unamtia hasira sana kwa Vijana wenye Mitaji midogo aisee hapo kajitafuta na gunia zake za maharage alafu unazitupa mtaroni

HARD NEWS TV
HARD NEWS TV
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 05 August 2026 06:16:12 GMT
126406
4801
495
73

Music

Download

Comments

user8878493325711
manweck :
ndoman nachukia police siwapend san
2026-08-05 10:24:48
56
alisaid1034
its Mohd✌️🔥 :
hii ndo police Tz
2026-08-05 12:12:34
0
shabanhussein121
Shaban :
spirit ya samia 😳
2026-08-05 15:19:15
1
m.fnd45
M.Fündï🤳 :
Eeeheeee aaaaahaaaa
2026-08-05 14:17:42
0
idrisa.89
baba kjf :
still no signs
2026-08-05 12:06:43
0
sleyum28
سليوم 🎁🌹💍 :
wallah thuma wallah mung atakulipen hapa hapa dunian kwa uwez wake
2026-08-05 08:27:34
118
h.queen716
H Queen🍀👌🥰 :
Daah nikam baba anapelek chakul nyumban alafu chakul enyew imebembwa na haw police inauma 😭😭😭😭😭
2026-08-05 08:51:11
71
dryland292
Dryland :
Mungu aniepushie wanangu na wajukuu na vitukuu vyangu kuja kuwa polisi😥😥😥
2026-08-05 10:44:47
18
leahered1
[email protected] :
duuuuuuu🥲🥲
2026-08-05 12:08:36
0
allysalumfundi
FUNDI JR :
Hivi viongozi wenye mamlaka mmelichujuliaje hili,
2026-08-05 09:26:02
68
user25402432963344
Six wizzy 45 ☠️☠️ :
Mungu amzidishie apate zaidi ya hiyo
2026-08-05 09:03:46
22
abui_saratan
Abui_Saratan :
yaani rais wetu mama samiya amewapa watu dhamana ili wamsaidie kazi lkn sidhani kama ivi ndio kumsaidia mama kazi hiku ni kumtia jina baya rais wetu.ila mungu yupo ataweka haki ya uyu boda boda.😭
2026-08-05 10:24:51
15
user_adinani
adinan abdallah :
mi naiwaza siku ya qiyama sijui itakua siku ngumu kiasi gani hiyo siku kwa mja maana dah...😭
2026-08-05 11:32:00
5
hom.boy00045
Wanyumbani :
?
2026-08-05 09:52:57
6
user131237610368
kime b2 :
cha kwanza siwezi kutukana kabla sijajua alikua amebeba nini
2026-08-05 10:06:08
6
deusnyorathomas1
《LÕŃĔ ẄØĻF》😎🤏•☆ :
Mungu baba ikikupendeza na hawa baba wasimalize ata wiki sikia vilio vyetu mwenyezi🤲🤲😭😭😭😭😭
2026-08-05 10:09:01
14
hussainkigandu1
Hussain ✨️ :
kusema ukwel nataman hiz pesa zangu wanazo nikata Kila mwisho wa mwez P.A.Y.E. kwa ajir ya watumish wa umma Bora wapewe yatima 😭
2026-08-05 11:16:27
6
mr.vibe62
mr vibes tz :
unajua nini mungu sio kiziwi wala kipofu ni swala la muda tu kwake tuseme Ameen😭
2026-08-05 10:12:53
15
bewise1104
Bewise :
Angekuwepo JPM hawa wasingekua na kazi sasa hivi.
2026-08-05 10:12:00
8
maalim329
zuber 🥀🥀 binwan 🥀🫧🫧 :
inshallah yote maisha t tuta kutan mbere ya Allah
2026-08-05 08:51:37
6
mjukuu_singida_one
MJUKUU SINGIDA ONE😎 :
Acheni tu na wanajiita polisi huo si wizi kabisa ila tumwombe sana MUNGU ATUEPUSHE NA LAANA KAMA HIZO😭🤔
2026-08-05 07:50:13
14
maltintz
maltintz :
kwn jaman shid kubwnn jaman
2026-08-05 08:56:45
8
khalifa.shaban8
Angara@1 :
ndomana sijawahi kum penda police🥺
2026-08-05 10:11:31
7
rajipamaboko933
rajipamaboko933 :
daaahh.. inchi na walinda amani. ivi nikweli kuna amani apa tanzania jamani mbna tunajisau lakini😭😭
2026-08-05 08:46:40
8
mussampira
OP DUMA VANA :
hiii vita itaisha lini jamani,alf isitoshe hawa wote tunaishi nao mtaana watoto waoo wanacheza na watt wetu,inakuwaje tunafanyiana hivi lakn😭😭😭😭
2026-08-05 10:06:08
6
To see more videos from user @hardnewstv, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About