@tangawizipori: Replying to @minnah_39 Najua jinsi inavyosumbua na kukosesha amani unapokuwa unapitia changamoto ya uke kuwa mkavu au kuwashwa na kutoka uchafu. ​Mchanganyiko huu wa Tangawizi, Limao, Kitunguu Swaumu na Kitunguu Maji ni njia nzuri inayosaidia kusafisha ndani, kuondoa sumu, na kusaidia mwili kurudisha ute.

TANGAWIZI PORI  | 📍Mwanza
TANGAWIZI PORI | 📍Mwanza
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 05 August 2026 06:21:50 GMT
237336
7006
441
694

Music

Download

Comments

swabrat.juma
beby ney💋 :
Samahn na watu wa bukoba tunatumia 😂 nauliza tu jmn
2026-08-05 16:07:55
70
mtewele03
Mrs🥰 sanga 🥰 boy :
hiii mjamzito auh upo piliod ciyo ya kutumia ametoa maelezo nusu
2026-08-18 08:47:33
1
bnyymgnn
🥰😍😍 :
jmnn me nmekunywa jana2 leo nkaingia period bila kutegemea hii ina maana gani?
2026-08-05 18:35:40
30
user6918266367437
sophia :
Nilitumia malambili2 et imebana jamani ataiyo halufu Amna Asante mwaya
2026-08-18 07:26:52
1
lucy625400
lucy♡✨🧿♉️ :
Inasafisha Mirija kama imechanganyikiwa hapo mimba n chap
2026-08-07 12:09:46
22
unicemoshi2
👅🤸‍♂️LASTBORN🤩👄 :
me nilikunywa kitunguu maji na tangawiz +ndimu nikaingia period nilifurah maan nilijua kwisha mimi😂😂😂
2026-08-06 07:51:26
20
paulina.andrea525
Paulina Andrea :
hiya ni tangawizi au kitunguu swaumu
2026-08-05 18:31:55
7
ashriphatgalby406
Ashriphatgalby406 :
Jamaniii kuna ile tangawizi,kitungu maji na saumi jamanii ile hatareeee wallah mpaka hedhii na hamu juu😂
2026-08-05 17:10:21
10
vivierichie7
🎧🎸Scorpion🦂 💝🇹🇿 :
Mbona mm situmii chochote,nikisikia tu saut yake
2026-08-08 07:21:49
5
babytee142
Momy Alvin🫂❣️ :
unatumia kwa muda gani??
2026-08-05 07:10:01
6
tausi957
Tausi :
samahan kipenz kam natumia uzazi wa mpango si fresh siwez pat mimba
2026-08-06 10:28:30
5
sechefaraja7
sechefaraja :
wanao nyonyesha wanaweza wakatumia?
2026-08-10 10:48:11
1
lightie195
lightie@20💞💞😍 :
Na maji na weka?
2026-08-07 11:36:40
2
irenehance0
Irene g :
asante nimejua dawa
2026-08-06 18:44:57
1
happyness.mlay1
Nia🥰🥰 :
Hy ya njano ni chungwa au
2026-08-05 12:12:04
5
tundeununu
Tunde :
Hiyo nyingine ni chungwa ama nisaidieni jaman
2026-08-14 17:55:00
1
sipha974
sipha :
inasaidia nn mwilini
2026-08-11 19:42:29
1
nerling50
Nerling :
jaman nimejaribu Jana usik tumbo langu mpaka Leo silielew nimeacha wee
2026-08-10 09:23:04
2
firstbornwrong1
️Ave cute❤️‍🔥😘😘😘😘 :
ila ladha gan
2026-08-05 14:40:32
3
user40319174717903
miriamj :
sorry me natumia njia ya uzazi wa mpango lkn sio. period je nikitumia hy itanisaidia kuona tena
2026-08-08 12:26:07
1
rileyofficial19
Riley🌸🦋 :
mm naombeni ya kupunguza mwili🥺🥺
2026-08-07 12:59:42
1
bonnetkigamboni
💎𝑴𝑰𝑵_𝑺𝑬𝑶_ 𝑨𝒎𝒊𝒓$🐇💎 :
nauza customized Bonnet wapendwa karibun sana tuunginishane vipenz karibun sana
2026-08-10 07:43:02
1
officialg353
Official G :
me nikajua kuna chungwaa na bila kusoma caption ninge uponzaa😳😁🙌🏽
2026-08-10 08:12:03
1
user227217636052
Rhodaah❤🦋 :
vp kwa mtu mwenye vidonda vya tumbo
2026-08-09 17:24:09
1
To see more videos from user @tangawizipori, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About