@tangawizipori: Replying to @minnah_39 Najua jinsi inavyosumbua na kukosesha amani unapokuwa unapitia changamoto ya uke kuwa mkavu au kuwashwa na kutoka uchafu. Mchanganyiko huu wa Tangawizi, Limao, Kitunguu Swaumu na Kitunguu Maji ni njia nzuri inayosaidia kusafisha ndani, kuondoa sumu, na kusaidia mwili kurudisha ute.
TANGAWIZI PORI | 📍Mwanza
Region: TZ
Wednesday 05 August 2026 06:21:50 GMT
Music
Download
Comments
beby ney💋 :
Samahn na watu wa bukoba tunatumia 😂 nauliza tu jmn
2026-08-05 16:07:55
70
Mrs🥰 sanga 🥰 boy :
hiii mjamzito auh upo piliod ciyo ya kutumia ametoa maelezo nusu
2026-08-18 08:47:33
1
🥰😍😍 :
jmnn me nmekunywa jana2 leo nkaingia period bila kutegemea hii ina maana gani?
2026-08-05 18:35:40
30
sophia :
Nilitumia malambili2 et imebana jamani ataiyo halufu Amna Asante mwaya
2026-08-18 07:26:52
1
lucy♡✨🧿♉️ :
Inasafisha Mirija kama imechanganyikiwa hapo mimba n chap
2026-08-07 12:09:46
22
👅🤸♂️LASTBORN🤩👄 :
me nilikunywa kitunguu maji na tangawiz +ndimu nikaingia period nilifurah maan nilijua kwisha mimi😂😂😂
2026-08-06 07:51:26
20
Paulina Andrea :
hiya ni tangawizi au kitunguu swaumu
2026-08-05 18:31:55
7
Ashriphatgalby406 :
Jamaniii kuna ile tangawizi,kitungu maji na saumi jamanii ile hatareeee wallah mpaka hedhii na hamu juu😂
2026-08-05 17:10:21
10
🎧🎸Scorpion🦂 💝🇹🇿 :
Mbona mm situmii chochote,nikisikia tu saut yake
2026-08-08 07:21:49
5
Momy Alvin🫂❣️ :
unatumia kwa muda gani??
2026-08-05 07:10:01
6
Tausi :
samahan kipenz kam natumia uzazi wa mpango si fresh siwez pat mimba
2026-08-06 10:28:30
5
sechefaraja :
wanao nyonyesha wanaweza wakatumia?
2026-08-10 10:48:11
1
lightie@20💞💞😍 :
Na maji na weka?
2026-08-07 11:36:40
2
Irene g :
asante nimejua dawa
2026-08-06 18:44:57
1
Nia🥰🥰 :
Hy ya njano ni chungwa au
2026-08-05 12:12:04
5
Tunde :
Hiyo nyingine ni chungwa ama nisaidieni jaman
2026-08-14 17:55:00
1
sipha :
inasaidia nn mwilini
2026-08-11 19:42:29
1
Nerling :
jaman nimejaribu Jana usik tumbo langu mpaka Leo silielew nimeacha wee
2026-08-10 09:23:04
2
️Ave cute❤️🔥😘😘😘😘 :
ila ladha gan
2026-08-05 14:40:32
3
miriamj :
sorry me natumia njia ya uzazi wa mpango lkn sio. period je nikitumia hy itanisaidia kuona tena
2026-08-08 12:26:07
1
Riley🌸🦋 :
mm naombeni ya kupunguza mwili🥺🥺
2026-08-07 12:59:42
1
💎𝑴𝑰𝑵_𝑺𝑬𝑶_ 𝑨𝒎𝒊𝒓$🐇💎 :
nauza customized Bonnet wapendwa karibun sana tuunginishane vipenz karibun sana
2026-08-10 07:43:02
1
Official G :
me nikajua kuna chungwaa na bila kusoma caption ninge uponzaa😳😁🙌🏽
2026-08-10 08:12:03
1
Rhodaah❤🦋 :
vp kwa mtu mwenye vidonda vya tumbo
2026-08-09 17:24:09
1
To see more videos from user @tangawizipori, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.