Jamani wanaume wanaochepuka huwa wanatupa kazi ngumu sana jmn...wengi wanatumia msitar wa wako wapi wanawake waombolezaji! jmn Mungu awaone nyie wanaume maana mnatupa mizigo ya kuomba mingi mno kiasi kwamba badala nikomae kuomba kibal kwenye uchumi,maisha ya kawaida bado napewa mzigo wa kuombea michepuko kabisa aisee inauma sana,but Mungu atatuheshimisha though tunachukuliwa kama watu dhaifu
Mimi pastor nilishika doa yangu. nanika kaa na mama yake miaka bili nanusu tume ashana na bwana yangu tukiwa namiaka ishilini na nane akaeda kwa make tajili kutoka UK nisaidie