@busybeeonyiegoo: Miaka mingi iliyo pita Diamond Platnumz na Jokate waliwahi kudate badae walikuja kuachana kila mmoja akafata njia yake Lakini kumbe Diamond Platnumz hakuachana na Jokate kwa ugomvi, tazama jokate alisafiri hadi saifee hospital kwenda kumuona Zuchu Jokate hakwenda mikono mitupu alibeba zawadi mbalimbali kwaajili ya Zuchu, Jokate na Diamond wanafanya tumaini kuachana siyo vita, mnaweza mka achana na bado amani ika endelea kutawala kati kati yenu 🖐️

Busy Bee Onyiego
Busy Bee Onyiego
Open In TikTok:
Region: KE
Wednesday 05 August 2026 08:39:12 GMT
3352
91
0
1

Music

Download

Comments

There are no more comments for this video.
To see more videos from user @busybeeonyiegoo, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About