@kidenya0: ajali ya lori maeneo ya daraja la mto ruvuma part 1.taarifa zaidi zitatolewa na MAMLAKA

Kidenya
Kidenya
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 05 August 2026 08:44:36 GMT
52480
1270
129
140

Music

Download

Comments

costerpeter8
Daddy :
kwenye kona punguza mwendo mpaka utakapoona mbele yako kupo salama ndio uanze kuongeza mwendo pia dereva aliyekuwa anashuka alitakiwa kupunguza mwendo pia
2026-08-06 08:38:02
15
madelelogistics
baraka madelem :
duuh apo kama mmetoka bas mipango ya mungu
2026-08-09 19:25:33
1
salumsajent
salumsajent :
apo ajali imetokea kweli ila makosa ya madeleva wawii apo uyo mwenye gali bovu ajaeka kito chochote kujulicha kama gali mbovu na uyu nae alikuwa bize na simu ndo mana tuna ambiwa ata dalasani nyanzo ya ajali ni nini (1)matumizi ya simu (2)uchovu (3)ulezi (4)usingizi (5)kuto kuzijua shelia za balabani
2026-08-06 06:42:22
6
kabaisa34h
no name :
Sasa walikua wanarekodi walijua nini kinaenda ku happen
2026-08-05 12:10:17
4
bigbrother.bg
BIGBROTHER😎 THE WELDER :
Uyo aliosema subhanallah atakuwa kapona tumtegemee Mungu kwa kila kitu🥺🥺
2026-08-07 19:34:51
2
py3517
py :
kumbe alikua anarekodi ye mwenyewe
2026-08-08 13:36:30
0
user7719540214688
Black Panther ✝️ :
aliposem aaah hapo kajaribu breki hamna ndo akaanz kuita mama
2026-08-06 07:58:05
2
23madmonkey6
mad monkey 🐵🐵 :
simu itaja maliza watu
2026-08-06 15:13:43
2
mauricebigmochiri
Big Mo 🔥 :
mama atakusaidia nini?
2026-08-06 08:59:54
1
wizzy_khalipha3
wizzy_khalipha :
chanzo kilikuwa nini
2026-08-07 19:59:39
0
kong56725
Amidu jr :
Pole kka
2026-08-07 12:37:09
1
emmanuelymfuse
manuu :
dereva wa malori huwa wanapuuza sana kuweka viashiria vya kuonyesha kwamba mbele kuna tatizo, magari yao huwa yanaharibika sehemu mbaya sana lakini hawaweki chochote kutoa taarifa kwa watumiaji wengine wa barabara,
2026-08-08 07:41:08
2
musrhymz
Mussa🇹🇿🇺🇲 :
Dah ukiambiwa mwamba kapona uwezi amini ila deleva huyo wa kulia ndo alie faliki innalilah wainnalilah raajuni
2026-08-06 18:43:34
3
jitulamtumba46
BABA DADY :
kila leo hii tu na nyie duuuu
2026-08-07 08:01:29
1
rayhoney08
rayhoney08 :
Mwenyezi Mungu walinde madereva na watumiaji wote wa barabara kwa ujumla aisee gar ni silaha kama silaha nyengine.
2026-08-06 18:41:07
1
jazzmzozo.45
SURF :
apo angeweza kuweka mguu kati sema break zimemfelisha kaka
2026-08-06 08:28:11
1
azalia_electrical
AZALIA ELECTRICAL ACCESSORIES :
anashukaje na 80 kwenye mtelemko na mbele Kuna kona
2026-08-06 07:01:40
1
driicky22
𝑪𝒐𝒖𝒔𝒊𝒏 :
Gari liwe na Brake au lisiwe nalo kosa ni la huyo alipaki gari bovu bila kuweka tahadhari,angeweka majani hata mita 100 ingesaidia madereva wenzie kuendesha kwa kujihami sio hivo kulipaki no hazard no reflector
2026-08-07 04:49:53
1
dadysahily
Swedy Zamili :
iyo oliyorecod ni dashcamera mzee izo gar zote zimefungwa camera
2026-08-06 05:14:45
2
shauri.mtaita
shauri mtaita :
daaaaa
2026-08-06 13:38:29
1
vanc_g
vanc_ :
natumain hatujampotez mtu familia
2026-08-06 17:09:12
3
michael19920113
Jminko :
Gar nyingi siku hiz zina camera
2026-08-06 01:44:07
3
geosure1
NY✨TA💥 :
ukiona umekanyaga brek hazishiki toa mguu nje kanyaga chini itasika..
2026-08-06 19:01:05
2
wingatozzy
Bad boy 32 :
dah hii imeniuma sana 😭😭😭😭
2026-08-05 22:06:38
2
To see more videos from user @kidenya0, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About