@veriafya: Tabia ya kuwaachia watoto wadogo simu wachezee wanavyotaka bila uangalizi wa mlezi au mzazi si nzuri kwa afya yao ya akili kwani inaweza kuwasababishia matatizo ikiwemo la Usonji. Prof. Karim Manji, Mhadhiri - Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili alizungumza kupitia Torch Media Tz.