ni utaratibu unaoitwa unyunyiziaji wa dawa ya kuua wadudu kwenye ndege (aircraft disinsection). Katika utaratibu huu, sehemu ya ndani ya ndege hunyunyiziwa dawa maalumu ya kuua wadudu kabla ya kuruka, baada ya kutua, au wakati abiria wakiwa ndani ya ndege. Hii hufanywa ili kuzuia mbu na wadudu wengine kuingia nchini na kueneza magonjwa kama malaria na dengue.
2026-08-05 13:13:33
10
Tanzania_Cargo :
baadhi ya mabegi ya abiria yanatoa harufu kutokana na hali za hewa mbali so wanaondoa uvundo
2026-08-05 19:53:36
1
luckymarley29🌹 :
Ukiona ndege haina Tv basi ujuwe sio ya kimataifa 😂😂
2026-08-05 18:05:16
0
divah56🎨✍️❤️ :
anapuliza oxygen msije shindwa kupumua 😂😂😂
2026-08-05 12:44:25
1
Irene :
bila shaka hii itakuwa twiga kilimanjaro
2026-08-06 12:25:07
0
comradeMrema :
kuondoa harufu ya ushuzi
2026-08-05 12:50:28
1
Fairy :
dawa ya vikwapa 😁😁😁
2026-08-05 20:58:25
1
@mablo_t_one :
Dawa ya mmbu
2026-08-05 22:20:42
0
user67826268379738 :
i
2026-08-05 12:35:12
0
Tinah🥰 :
hio ni spray kama dawa ya mbuu kuuwa wa Dudu na infection zilizoingi kabla yakuanza safar
2026-08-05 21:42:01
1
Missmish :
Ni dawa ya kuuwa wadudu kipenz
2026-08-05 19:11:57
1
sandason 77 :
🤣🤣🤣 Wewe jamba tuu
2026-08-05 16:50:51
1
fine_kid..✨ :
rungu max😅😅
2026-08-05 17:47:47
1
To see more videos from user @99_mobilephones_tz, please go to the Tikwm
homepage.