@abuhuleka_10:

Abuhuleka_Said
Abuhuleka_Said
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 05 August 2026 11:16:10 GMT
24987
1959
62
106

Music

Download

Comments

user49035054035854
football⚽✨💯 :
Mungu yupo na ni mmoja tu 🙏🙏
2026-08-05 16:54:07
31
munyisylivester
NONCHALANT🇹🇿🇹🇿🇹🇿 :
trust once dont comfuse god is present
2026-08-05 17:36:20
0
abdallahdena3
MC DEEJAY>DD :
ONE DAY YES
2026-08-05 17:50:15
0
user7620022967551
Ãmãñîsm thêöry :
Tunaoamini Mungu yupo gonga like 🙏
2026-08-05 17:24:47
20
wayance_
Wayne :
MUNGU NI SISI WENYWE YUPO DANI YETU SISI WATU WOTE DUNIA…
2026-08-05 17:23:16
11
addy.victor8
addy victor 🦋 :
Nkianglia jua linawaka mchana na lime balance watu tusiungue na nikifikilia mwez unaangaza usiku mida ya usku inatosha kuthibitisha Mungu yupo Bado mengne kibao🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
2026-08-05 18:32:52
1
sir.mgaya
Sir mgaya :
Hongera umejitahid janja kukaaa na ukwel bila kuusema nikuteseka tuu hongera janja Kijiwen kumepoa.
2026-08-05 14:21:54
4
39jafary
J :
Ayo maswali yote ni lahisi sana
2026-08-05 13:32:56
5
nonmentality
nonmentality :
kuama tanzania shingapi
2026-08-05 11:33:13
4
un_logo_009
bacerp master :
ivi Yale matukio ya Brazil mnayachukuluaj
2026-08-05 13:28:12
3
jclever.tz
Jclever Tz :
HAKUNA KIUMBE KILICHO JUU KINACHOITWA MUNGU , MUNGU NI NGUVU NA NISHAT ZILIZOPO KATIKA KILA KITU
2026-08-05 18:46:37
0
user8790736115625omari
user8790736115625didas omar :
kabisa mungu yupo ndanimwetu
2026-08-05 18:44:05
0
user86198511821
VIRGO QUEEN :
kama dhambi ya adam mpaka leo tunaitumikia ila utajiri wa suleiman hatuna mpaka leo
2026-08-05 18:27:11
2
ram.cizzo
DUDE MTANZANIA 🇹🇿🇹🇿 :
NGOJA NIFE NIELEWE KILA KITU
2026-08-05 18:40:26
0
user2020577032731
Felis steward Hoza :
mungu yupo, lakin watu wanamtafasri vibaya.
2026-08-05 18:34:37
0
alexboy_tz
ALEXBOY 👑 :
Mungu yupo ndani yenu
2026-08-05 18:30:47
0
reubenmwaijengo
Luben Mwaijengo :
yupo
2026-08-05 18:34:22
0
sualesaide868
Mpassiar jr :
Alha akbar
2026-08-05 17:59:17
0
user1047998434056
Lucien :
kweli unaongea kwa busara na imani kubwa napenda sana maneno yako
2026-08-05 18:03:19
0
abdullykilola0
abdullykilola :
dunian ni sehemu ya majaribio kwa mwanadamu na sio sehemu ya starehe kama tunavotaka au tunavodhani na ndio maana kuna kusali mara tano kwa siku, kusaidia masikin,mayatima,wasiojiweza,wazee,na kuwatendea wema wazazi, kuishi na watu vizuri au kwa wema pamoja na kutoa sadaka huku ukimshuku mungu kwa kila unachokiapata, ukifanya hayo umefahuru na usipofanya unaungana na shetani kwaiyo matendo mabaya ndio shetani ukifanya mazuri unaitwa muumini
2026-08-05 18:01:40
0
nyegere67
nyegere :
siitaaji ata ku commenti
2026-08-05 18:49:02
0
shomymathiasy11
Shomy Mathiasy :
nakubari
2026-08-05 18:16:25
0
josephat.mwalo
Josephat Mwalo :
inafikirishaaaaaa sanaaaaaaaaa alieviumba vitu vyote vinavyoonekana mpka sayari zotee ndo huyoo huyoo mungu wetu aliyee tuumbaaaa
2026-08-05 18:15:29
0
user4008019316178
user4008019316178 :
😁corty
2026-08-05 12:59:53
0
To see more videos from user @abuhuleka_10, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About