MUNGU NI SISI WENYWE YUPO DANI YETU SISI WATU WOTE DUNIA…
2026-08-05 17:23:16
11
addy victor 🦋 :
Nkianglia jua linawaka mchana na lime balance watu tusiungue na nikifikilia mwez unaangaza usiku mida ya usku inatosha kuthibitisha Mungu yupo Bado mengne kibao🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
2026-08-05 18:32:52
1
Sir mgaya :
Hongera umejitahid janja kukaaa na ukwel bila kuusema nikuteseka tuu hongera janja Kijiwen kumepoa.
2026-08-05 14:21:54
4
J :
Ayo maswali yote ni lahisi sana
2026-08-05 13:32:56
5
nonmentality :
kuama tanzania shingapi
2026-08-05 11:33:13
4
bacerp master :
ivi Yale matukio ya Brazil mnayachukuluaj
2026-08-05 13:28:12
3
Jclever Tz :
HAKUNA KIUMBE KILICHO JUU KINACHOITWA MUNGU , MUNGU NI NGUVU NA NISHAT ZILIZOPO KATIKA KILA KITU
2026-08-05 18:46:37
0
user8790736115625didas omar :
kabisa mungu yupo ndanimwetu
2026-08-05 18:44:05
0
VIRGO QUEEN :
kama dhambi ya adam mpaka leo tunaitumikia ila utajiri wa suleiman hatuna mpaka leo
2026-08-05 18:27:11
2
DUDE MTANZANIA 🇹🇿🇹🇿 :
NGOJA NIFE NIELEWE KILA KITU
2026-08-05 18:40:26
0
Felis steward Hoza :
mungu yupo, lakin watu wanamtafasri vibaya.
2026-08-05 18:34:37
0
ALEXBOY 👑 :
Mungu yupo ndani yenu
2026-08-05 18:30:47
0
Luben Mwaijengo :
yupo
2026-08-05 18:34:22
0
Mpassiar jr :
Alha akbar
2026-08-05 17:59:17
0
Lucien :
kweli unaongea kwa busara na imani kubwa napenda sana maneno yako
2026-08-05 18:03:19
0
abdullykilola :
dunian ni sehemu ya majaribio kwa mwanadamu na sio sehemu ya starehe kama tunavotaka au tunavodhani na ndio maana kuna kusali mara tano kwa siku, kusaidia masikin,mayatima,wasiojiweza,wazee,na kuwatendea wema wazazi, kuishi na watu vizuri au kwa wema pamoja na kutoa sadaka huku ukimshuku mungu kwa kila unachokiapata, ukifanya hayo umefahuru na usipofanya unaungana na shetani kwaiyo matendo mabaya ndio shetani ukifanya mazuri unaitwa muumini