MUNGU NI SISI WENYWE YUPO DANI YETU SISI WATU WOTE DUNIA…
2026-08-05 17:23:16
171
VIRGO QUEEN :
kama dhambi ya adam mpaka leo tunaitumikia ila utajiri wa suleiman hatuna mpaka leo
2026-08-05 18:27:11
79
Muchinji boda :
mungu yupo tena yupo
2026-08-05 18:16:37
97
HAMZAA Abdulkadir077 :
Bora uamini Mungu yupo na ukienda usimkute kuliko uamini hayupo uendee umkute kazi ipo
2026-09-03 19:10:27
26
baraka💫 :
wakuu tuishi tu.
2026-08-06 08:30:00
8
😁 :
heri kuamini ukakuta hayupo kuliko kuto amini ukaenda ukamkuta, kilio chake hakina matumaini, tutendeni tu mema jamani
2026-08-06 04:54:00
39
addy victor 🦋 :
Nkianglia jua linawaka mchana na lime balance watu tusiungue na nikifikilia mwez unaangaza usiku mida ya usku inatosha kuthibitisha Mungu yupo Bado mengne kibao🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
2026-08-05 18:32:52
48
user8199611153054 :
MUNGU yupo na ameketi kwenye kiti cha enzi ila nyuma yake kuna ulimwengu wa giza sisi inatakiwa tuishi hapa duniani kwa unyenyekevu na sio kujiamulia
2026-08-05 18:53:57
8
Raiyyan_fahmy :
weee kaka ww tafadhali mm sitaki jaman mungu yupo jamn khaaa ebu msituleteee laan sie
2026-08-06 00:47:32
5
Pretty Angel🕊️🌸🦋🌺 :
Mungu yupo jaman 🥺 Mungu yupo na anaishi mionyoni mwetu
2026-08-06 06:46:09
6
𝐄𝐙𝐄🍃 :
God is Great
2026-08-06 05:40:28
5
ALMASI💎EMMANUEL KABAGE :
mimi najua MUNGU yupo, kasha jisibitisha kwangu na sina mda wakumsibitishia mtu, anaetaka kusibitishiwa amtafute MUNGU mwenyewe amsibitishie, akili ya MUNGU haichunguziki na haifikiri, pale akili ya mwanadamu inapo ishia kwa kufikiria ni hapo ya MUNGU inapo anzia
2026-08-12 08:26:20
5
laurent_geo🀄 :
kama kuna uchawi na tunaona matokeo kwa wazi waz bas hata Mungu yupo na ana nguvu kuliko chochote ulimwenguni
2026-08-12 19:22:50
10
Omaley :
anae amini mungu yupo like hapo
2026-08-17 08:06:08
6
Ryoba Mwita :
mungu yupo na atakuwepo hat milele
2026-08-21 20:14:29
6
laurent_geo🀄 :
kama kuna uchawi na tunaona matokeo kwa wazi waz bas hata Mungu yupo na ana nguvu kuliko chochote ulimwenguni
2026-08-12 19:22:50
7
VINCENT DONALD :
GOD IS GREAT
2026-08-05 21:20:48
7
Jclever Tz :
HAKUNA KIUMBE KILICHO JUU KINACHOITWA MUNGU , MUNGU NI NGUVU NA NISHAT ZILIZOPO KATIKA KILA KITU
2026-08-05 18:46:37
34
last born🌵 :
ata mimi nimo umo umo kwenye ayo maswali
2026-08-11 21:21:08
5
JACKSON MSILOMBO :
MWENYEZI MUNGU NI ALPHA NA OMEGA. MUNGU YUPO.
2026-08-13 22:54:10
13
BR story :
like hapa wanaoamini MUNGU
2026-08-07 18:59:46
7
Emmaic09 :
Mungu ni chanzo na chazo kipo Kila mahali ,, hata wewe na Mimi tuna uungu , nasi ni miungu , kwa hiyo maji hewa moto ardhi , watu , sote sisi ni udhihilisho wa chanzo kimoja (energy) ambayo ni Mungu mwenyewe ,
2026-08-06 20:22:52
9
TNBT packaging :
bora uamini yupo uende umkose ila sio uamini hayupo alafu umkute
ndo utaelewa kwann maisha ni filam
2026-08-05 17:28:21
25
To see more videos from user @abuhuleka_10, please go to the Tikwm
homepage.