@kiungoni:

kiungoni
kiungoni
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 05 August 2026 12:17:27 GMT
60821
9142
441
965

Music

Download

Comments

ustaadh.issa.a.ju
Ustaadh Issa A Juma :
huyu msomaji alishafariki allaah amrahamu Mubaarak shaabani from kigoma
2026-08-05 13:15:33
18
user8327142181169
😍😎😎 :
ni saw lakn omba dua njeema kwa wenzio il na ww upate mema sema alokuwa hapend kuskilza mungu amuongeze aipende kur-an kumbuka uislm ni dini mzr na inamtakia kher kula mtu
2026-08-05 13:31:44
40
user8467582875071
Rania :
sadakta kaka wanapendakusengenyavwenzao au kusimbulia sio viziri mungu hataki ivo
2026-08-05 18:53:09
9
malatu.maingu
Malatu maingu :
mashaallaah allaah amzidishie mara 10000
2026-08-13 13:57:46
1
saidbindarusi
Said Bin Massoud :
Allahu Akbar
2026-08-05 19:40:54
2
sempai.m3
sempai M :
unapata dhambi kwajambo lakher huwezi kutowa laana hasa kwamuislamu mwenzio haifai 🙏🙏🙏
2026-08-06 16:43:37
4
yaaga57
yaaga :
mjaalie her ya dunia na ahera nasi piaa
2026-08-11 16:24:57
1
mariam.jumaa73
Mariam jumaa :
Allah wakibaru
2026-08-16 11:20:36
1
mpandushilingi
Shilingi :
ماشاء الله، الله اكبر
2026-08-05 17:18:30
1
nguzo57
Nguzo :
jazaka llahu ghaila
2026-08-05 20:00:25
1
user4852871254797
Bruno peter chengula :
ALLAH akupe people yeke.inshallah
2026-08-07 17:33:10
0
yusuphkijaji
yusuphkijaji :
mashaallah mashaallah alhamndulillah
2026-08-06 14:47:23
0
seif2022
JohnJackson :
sio vzr kuwalaani binadamu wenzio watu hawajakamilika sheikh!! tuendelee kukatazana mabaya na kuamrishan yaliyo mema
2026-08-05 18:57:54
2
gafzo5
gafzo :
omba mwish mwema na usimlaani mtu Bali muombee dua
2026-08-06 19:01:52
1
riziki6148
riziki :
eaombee wenxio njia ya kher sio kulaani unpolaani mungu anaanza na wewe mungu akupe kauli njema
2026-08-05 15:21:52
4
suleimansaid7843
sulesh07 :
Uislam hautak wat waombeane dua mbay bali ni vyema kmuombea mwenzko dua nzur na wal sio ksema mtu alaaniwe hii sio nzur dngu yng ktk iman mnasihi mtu kwa kauli nzur ili avutiwe na uislam I hope utkuw umnielew sio kwa ubaya
2026-08-06 19:44:42
2
mvukamto
MVUKAMTO :
mwanadamu angepewa uwezo wa kutoa pepo na moto naona peponi kungekuwa kuna idadi ndogo sana ya watu...naona wanajimilikisha mamlaka ya Allah wanatoa laana hawakumubushi kama mipaka ya mwanadamu ilipoishia ni kukumbusha tu na sio kutoa laana..
2026-08-16 05:03:53
1
001sudais
sudais :
muislam hupaswi kumuombea mtu dua mbaya hata kama kavuka mipaka laana huwa inaanza nawewe hata kama unafanya mambo ya kheri utajikuta hufanikiwi kumbe dua zako za kuombea mabaya wengine jichunguze
2026-08-06 18:19:47
3
malikabdalla42
malikabdalla42 :
ni makosa kusema"ulaniwe" hata kama hakusikiliza mnasihi kwa kauli njema ndo dini yetu inavyotuelekeza
2026-08-06 17:41:01
5
abaashir
[email protected] :
kuwalaani watu sio vyema tumieni maneno mazuri Allah mwenyewe kashasema إنا هديناه السبيل إما شاكرا وإما كفورا msiwe sababu yawatu kupata laana 😭
2026-08-06 14:35:29
1
shaabanfaki
@shebmpemba :
ukamilifu wa mwnadamu ni kukosea na kusahau
2026-08-05 15:34:26
1
kihemba68
kihemba :
Mashallah
2026-08-26 13:58:30
0
026perfumes
Legend :
Ustadh Mubarak Shaaban ❤️❤️
2026-08-26 21:32:53
0
kazair.abdala
kazair abdala :
Layukallifullahu
2026-08-27 11:08:38
0
issaali436
Issaali@[email protected] :
mashallah
2026-08-05 14:36:02
0
To see more videos from user @kiungoni, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About