Uyo mwanaume anaekudharau kwa sababu haujaongeza chochote ni anakua hakukupenda So kama kakudharau achana nae Yeye sio anaefanya maisha yaende sio kwamba ukiachana nae maisha yatasimama mana mwanaume anaetaka kukudharau ata uwe na ela zako bado atakudharau tu shida ni akijua unampenda basi
2026-08-05 20:24:55
6
Yvonne Adah🌹 :
Dear LORD,naomba uniongoze
2026-08-05 17:43:57
0
Pretty Angel🕊️🌸🦋🌺 :
Kaka anaongeaga point kubwa 🥺
2026-08-05 19:42:25
2
Byera :
ujumbe ni WA kweli kabisaa stay blessed mtumish wa Bwana
2026-08-05 15:22:25
10
lightness dall :
hii ya maua nimeipokea baba
2026-08-05 16:06:31
7
toto :
very true
2026-08-05 19:19:35
1
Mrs.hamidu :
hiiii ilnikuta wwe usiombe utakufa uku umesimama, saiz nipo bze mno a
2026-08-05 19:16:53
2
Lost to follow up :
kazi tunayo
2026-08-05 15:43:23
2
user3019300581167 :
sijui niseme nini
2026-08-05 19:01:19
1
Eng H :
Wachungaji Ambieni wanaume nini maana ya ndoa takatifu na nn anatakiwa awe nacho Ili aoe maana sio wanaume wote ni wanatakiwa kuoa. Hata huyo mwanamke aongeze vingi huyo mwanaume atafanya dharau tu. Ila hizi kauli za kuwapa stress wadada. Ndoa ni wito na inasheria zake.
2026-08-05 22:59:58
0
stellah ❤️🇹🇿 :
mi ex wangu aliniacha akao mwanamke ambae familia yake nilimuhija saiv akipata shida ananiomba mi ushauli hadi akitaka kufanya biashala ananishilikisha kila kitu anadai hawah pata mwanamke mwenye hakil na hekima mana mimi hana namna ya kufanya ila anataman siku ziludi nyuma anakumbuka siku tulio kusanya pesa tukaweka pamoja tukiwa wapenz na nikamshaul cha kufanya hadi leo anamafanikio analia sana ananijal ananipa kila nacho hitaji kwa wakat so huwa anasema hizo pesa alizo nazo nizangu pia ila hatuwez kuwa pamoja tena 🤣🤣
2026-08-05 20:58:56
2
MarianaKinawa :
Mbona ni kama kwenda vitani sasa, mbona pressure 😳 nikikaa mwenyewe na kipato changu cha kawaida kinanikidhi, huko kwenye vita kama za hilter naenda kufanya nini. Emu mtu tue
2026-08-05 18:21:52
1
ManagerLee kids outfits :
POINT
2026-08-05 19:23:35
1
gee.moles2 :
Hakika baba🙌🙌
2026-08-05 13:31:45
1
annalameck50 :
amen 🙏
2026-08-05 15:12:25
2
sarahkalunga4 :
umenifrahisha mtumish barikiwa sana
2026-08-05 18:52:11
1
angel mchina3083114444146 :
kaka kabisa yani yalonitokeya me kwenye mahusiano huwezi amini nimeona niyachanae nae kwa amani☺️nilimwambia sikutaki tena wewe ukitaka kalale uko .e sijali 🤣mwisho nimeondoka nina wiki 2 sina habari nae alisema kuwa alisha nizoweyq huwa narudi🤣saivi kimemlamba🤣
2026-08-05 19:16:59
2
Ge333nssy :
Ni kweli kabisa
2026-08-05 14:17:22
2
To see more videos from user @apostle_msechu, please go to the Tikwm
homepage.