@bongofive: Ikiwa leo ni siku uzinduzi wa Nyenzo za utekelezaji wa Dira ya 2050 pamoja na kushiriki katika mkutano wa mazungumzo maalum na sekta binafsi kuhusu utekelezaji wa Dira hiyo. Mfanyabiashara maarufu wa Arusha Wilbard (Willy) Chambulo maarufu kwa jina la Kaburu wakati wa kutoa mchango kutoka Sekta binafsi upande wa Utalii ametoa mawazo mazito kuwasilisha kwa Mhe Rais Samia. Je, unampa alama ngapi Chambulo kwa Nondo zake mbele ya Rais Samia??

Bongofive
Bongofive
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 05 August 2026 13:41:12 GMT
14878
393
6
23

Music

Download

Comments

rajabuseleman84
@ rajabu :
jamaa anaakili kubwa
2026-08-06 07:17:47
0
alfonce.magayo
MAKAO👑 :
spana zinatembea hatariii 😂
2026-08-05 21:34:37
0
user6903639410787
lil suk :
kwani huyuniwaziri wanini??
2026-08-05 14:37:04
0
bhaiyaji553
BHAIYAJI :
eeeeehhhhhhh ndiooo ukweliiiiiiiii😁
2026-08-05 13:53:39
0
mrprank66
mr prank :
babu asante kwa kutuwakilisha
2026-08-05 13:56:27
0
To see more videos from user @bongofive, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About