@nduvastudios: NATAKA COMMENTS 100 TU…..Je..? Umesubscribe? Baada ya mfalme kugundua kuwa maisha yake yanakaribia mwisho, analazimika kumchagua mrithi kati ya mapacha wake wawili, Nduva na Joeli. Lakini tamaa ya madaraka, siri za kifalme, usaliti, na maamuzi ya miungu vinaanza kubadili kila kitu. Je, nani atavaa taji, na ni damu ya nani itamwagika ili kulipata? #mapachawamfalme #nduvastudios