daaah leo ndio nimeamin sasa jmn it's so painful 😒 😭😭😭 jiran
2026-08-05 15:35:53
0
sky :
yaan nimeumia huyu Dada bas tu juzi juzi tu nilipaanda hii gar kutoka morogoro mwanza Dada alikua anaongea vizur huyu,ila Dereva alitupeleka Les Sana hakuna kupita hotelin wala wap moja kwa Moja had mwanza na njaa yangu
2026-08-05 20:59:10
2
zelasha Mwasongwe :
simjui ila uyu baba ameniuma mno😭😭😭
2026-08-05 19:56:15
3
marry elias buga :
kazikwa wap ndgu yetu jmn
2026-08-05 19:51:50
0
G :
Mungu wetu wa mninguni amuweke mahala pema peponi
2026-08-05 17:04:09
1
Yasinta Eustus💫 :
miaka mingi sana umefanya hii kazi Yani kk masumbuko sikutegemea kama ndy ingechukua roho Yako kwa udhohefu ule sijui imekuwaje Yani natetemeka mm Bado nakosa Cha kusema.😭😭
2026-08-05 21:18:09
0
ma fraznah :
Apumzike kwa aman njia yetu ni mmoja
2026-08-05 20:24:38
0
Keflin Peter :
polen sana kwa msiba huo
2026-08-05 20:38:27
0
abdulqadirkibassa :
MTU WA WATU R I P MZEE WANGU MASUMBUKO KANIUMA SANA 😭😭😭
2026-08-05 21:34:34
0
winniekessy8 :
Poleni sana
2026-08-05 20:44:02
0
merycioz :
Apumzike kwa amani zote njia moja
2026-08-05 20:36:43
0
Dina kaiza :
polen san😭😭
2026-08-05 16:21:32
0
Mrs Leo ♌ 🇿🇦 :
😭😭😭polen
2026-08-05 15:18:43
0
bibi milen :
😴😴😴😴🤔🤔🤔 haya bwana sina chakusema kwakweli mungu awlaze nahala pema kaka,nawengine wote walopatwa navifo hv,🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭
2026-08-05 20:56:03
0
Chibby ❤️❤️ :
Jaman ni huzuni 😭😭😭
2026-08-05 19:53:00
0
Karagwe finest tz, :
Daaah poleni San ila kipekeeh nimeumia San
2026-08-05 16:47:05
0
PENDO🥰🥰🥰🥰🥰 :
dah tr 1 jion ulisema mdg wangu kesho ntakuwa dar kumbe ndo ulikuwa unaniga pumzika kakangu
2026-08-05 19:18:15
0
tadeitesha :
poleni sana 😭😭😭😭😭
2026-08-05 17:38:23
0
JANUARY🇹🇿🚁 :
Daaah inaumaa sana😭😭😭ghafla ivii
2026-08-05 15:23:25
0
wali nazi :
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭mwenyezi mungu ampumguzie azabu za kabri mjombaangu
2026-08-05 15:40:28
0
lizzy Gabz🥰🩷🦁 :
Apumzike kwa Amani 🙏🏼
2026-08-05 16:09:54
0
Mussa Joness :
poleni sana kwenye kpnd hiki kigumu
2026-08-05 22:08:24
0
natasha :
masumbuko www uneniumiza jamani...sikuwah kujuwa kqmq utakuja niumiza namna hii😭😭😭😭😭😭😭Allahuyaalam.......mimi nani nipingane na mwenyez mungu..
2026-08-05 16:20:17
2
mama p :
nayoaya majina jamani
2026-08-05 16:18:28
0
Emmanuel_Mushi :
Dah Pumzika kwa Amani kaka
2026-08-05 17:45:57
0
To see more videos from user @dereva.makini, please go to the Tikwm
homepage.