@www.johanvia.co.tz: 🔖Kampuni ya Usafirishaji abiria na mizigo kampuni ya Johanvia express inapenda kuwatangazia watanzania wa jinsia zote nafasi za kazi ndani ya kampuni hiyo. Kwa niaba ya mkurugenzi wa kampuni na staff wote wa kampuni tuwatakie Kila laheri wale wote watakaotuma maombi Kwa nafasi mbali mbali za kazi. asanteni.. 🙏 🔖 Imetolewa leo 05/8/2026 na mwisho wa kutuma maombi ni 17/08/2026.. Barua zote zinapokelewa ofisini makao makuu Musoma mtaa wa Nyasho au kwenye email ✉️ [email protected]

Johanvia_Ambassador 🌀
Johanvia_Ambassador 🌀
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 05 August 2026 17:26:45 GMT
11397
249
47
21

Music

Download

Comments

lucas76366
lucas :
Am Driver 🛣️🙏
2026-08-08 09:14:35
1
iamtotoo
Ms_totoo 💞 :
mimi na vigezo vyote vya huhudumu wa gari
2026-08-06 11:14:48
1
m_tz05
. :
hongereni sana hii nzuri kwa wapambanaji
2026-08-06 15:44:28
1
user4409143343654
lauson :
mimi uzoefu sina ila nawezakufanya kazi kwa bidii
2026-08-08 15:04:01
2
happyness2337
happyness :
wajee
2026-08-05 17:34:32
1
swaumu9366
swaumu :
Ambao tuko dar tunapeleka wapi
2026-08-07 20:31:43
1
mwamposa306
Mwamposa tz :
Mimi nilikuja officen kwenu na vigezo vyote vya udereva ila nikambiwa ety umri ni mdogo
2026-08-09 07:26:00
0
bus_mbeya_yetu
𝙱𝚄𝚂 𝙼𝙱𝙴𝚈𝙰 𝚈𝙴𝚃𝚄 🚍 :
nafasi za wanazi 😂😂
2026-08-05 19:22:44
1
imanijohn4
Imani :
Ngoja tujaribu
2026-08-11 06:41:06
1
the.rock1280
The rock :
maombi Yana luhusiwa kuletwa shek lango
2026-08-06 18:59:29
0
fifibazl14
fifi🦋💞 :
Mimi nina uwezo ila sijawah kufanya kazi popote
2026-08-06 07:27:21
1
skin.natur
Skin natur💋💋 :
jamn mm nipo dar es salaam
2026-08-05 18:29:24
1
ferafa3boys
BAJ aRa💞Cyut :
hakuna nafasi kama ya Nancy
2026-08-06 06:31:51
1
dotto385
dotto :
nipo. hapa. naweza. kaz
2026-08-08 15:49:06
0
steve.kendrick2
Steve kendrick :
mimi niko mbeya chunya
2026-08-06 12:44:26
1
piuspolmganule
Baba BON/BLAS :
mda wangu sasa kuendesha basi
2026-08-06 10:46:40
1
mremajulius37gmail
JULIO TZ :
kama kafanya kazi kwenye kampuni ya magari Kwa miaka 5 huyu na aje
2026-08-09 11:03:01
0
the.rock1280
The rock :
sasa mi sina uzoefu je naluhusiwa kutuma maombi
2026-08-07 20:01:33
1
erick.mmary8
TZ...OLMO..20🔥🔥 :
mapema naja jman
2026-08-06 14:22:20
1
eliambata
eliambata :
mimi nipo mbeya naitaji kazii ya udereva wabas nimzoefu
2026-08-07 08:09:04
0
baba.jordan88
Baba Jordan :
Mimi Nina kila kitu Ila sijawahi ajiliwa Kwenye bus Ila nimeendesha IT BUS itawezekana
2026-08-10 10:27:00
0
thomastz21
☆@Thomas-Tz☆🇹🇿 :
mm nataka dar.. kka lin zinatoka?
2026-08-06 16:20:09
0
11manase
MANASE :
vigezo 😂😂
2026-08-06 09:29:32
1
dada.mashavu
Dada mashavu🥰❤️ :
Ngoja nijitutumie nipereke baruha ya maombi hat ya kukata tiket tyu mungu nijalie kutoka mkendo to nyasho at kwamguu nafika
2026-08-07 13:39:35
1
To see more videos from user @www.johanvia.co.tz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About