@kusagatv:

MWANDISHI WA WANANCHI
MWANDISHI WA WANANCHI
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 05 August 2026 19:52:31 GMT
82398
1858
205
44

Music

Download

Comments

jenipher_lorvin
Jenipher Marco :
Tumchangien ata bukubuku jmn😭
2026-08-05 20:14:16
76
raymondmosha
raynation :
mama weka number tukuchangie....
2026-08-06 06:51:45
0
jameslaiser91
James Laiser :
Hamna Kesi hapo ni uwonevu...Pikipiki ml 2,700,000 huwezi kuuza nyumba ya ml 20 kwasababu ya Pikipiki. Akipata Wanasheria hapo hana kesi sana atadaiwa laki 7 km ml 2 walishapokea. Bora muweke mkeka tumchangie
2026-08-05 20:17:59
48
.mbalamula
@iambiba :
mama asaidiwe inunuliwe pikipiki mpya apewe mwenye piki piki mengine yahesabike kama hasara na ajali kazini.
2026-08-06 06:05:39
14
msomali642
Chale :
weka number tuchangie
2026-08-06 04:44:32
0
elizabethshrima
Elizabeth Shrima :
Weka No 2change
2026-08-06 04:19:46
1
kimaronancy
Dr.sweet mobile store and👗👕 :
tunaomba mkeka achangiwe
2026-08-06 07:00:36
4
soyosso.mbogo
Soyosso mbogo :
TUNAHITAJI NAMBA TUCHANGE, tujifunze kuokoana wenyewe kwa wenyewe, hakuna mtume wala kiumbe chochote kutoka angania au mawinguni kitakuja kutuokoa, hii ni hali endelevu hiwe tamaduni yetu kusaidiana kwenye haya matatizo baina yetu na mifumo yakitumwa ukandamizaji, kama ambavyo imekuwa tamaduni kwa waliopo kwenye mfumo wanaumoja kutukandamiza na kudhurumu mali na haki ya watanzania, mfano Report ya Cag inatoka kila mwaka na wizi ubadhilifu mkubwa wakufubaza taifa hili unadhihirika kwenye sekta tofauti na hakuna anayechukuliwa hatua sababu sheria za nchii hii ni zaukandamizi tu kwa mwenye hali ya chini ambaye hayupo kwenye mfumo (cheo) chakuidhinisha ubadhilifu, leo kwa Mama huyu kesho ni kwa jirani yako ndugu au wewe kama ambavyo utekaji unatekelezwa
2026-08-06 06:25:56
3
nafsahamis
Nafsa Hamis :
duu mam asaidje jmn iyo pesa ndogo kwa nyumba
2026-08-06 02:43:11
8
dorimnzavas
DORIS MZAVAS :
tumchagie jaman hata bukubuku tumsaidie tuuu abaki na nyumba yake jaman nimemhurumia huyu mama jaman
2026-08-06 07:03:53
5
user5177546862639
violeth :
Tz hoyeee
2026-08-05 21:57:13
0
almasjuma650
Almas Juma :
huo wiz hata mahakama haijatenda haki
2026-08-06 04:07:11
3
user227906826
Sabrina @ :
hiii ishu ilishamkuta mzazi mwenzangu usiombe yakukute isikie to,
2026-08-06 01:28:23
5
mercyjoseph852
mercyjoseph852 :
Kusaga toa namba tumchangie huyu mama 😭😭
2026-08-06 05:30:38
4
daxelectronics
dax electronics :
ROHO NZURI WAKATI MWINGINE SIYO SIFA NI KUJITAFUTIA MATATIZO NA WATU
2026-08-06 03:32:00
4
vyombodiscount_tz
vyombodiscount_tz :
jman kusaga naomba tusaidie namba zao tuchange hilo deni 🥺🥺
2026-08-06 04:03:12
3
mama.boyd7
mama boys :
Iyo pik pik ya mil 5 n aina gan??hii nchi pesa iko juu ya sheria yan hakimu mwenye mamlaka anamuuliza mshtaki et unasemaje uonevu tu
2026-08-06 07:01:14
0
mumy.naylah.24
mumy naylah 24 :
jamani tumchangieni
2026-08-05 20:04:37
4
lilianjoseph582h
Rinah :
Huruma isizidi uwezo Jamani pole mama
2026-08-06 05:03:25
0
iq4184
Iq@ :
pole sana.watanganyika tupaze sauti.kwauonevu huu tuseme apana tena kwavitendo nasio kwamaneno.inaumiza sana hii kitu
2026-08-05 20:39:56
0
didaog7
DidaOg :
Dunia mapito
2026-08-06 04:19:18
1
ng01iq
@ijang' :
namimi nitachangia akiweka namba naomba mnitag pls pls pls😕🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🥺🥺🥺🥺
2026-08-06 04:27:06
2
natamba_bricks
NATAMBA BRICKS :
Huyu apewe msaada wa kisheria huwezi kuuziwa nyumba kwa kumdhamini mtu huyo mama alete huo mkataba ambao unaonesha kuwa huyo mama kaweka dhamana ya hiyo nyumba. Hiyo 2m huyo mama atakiwi kulipa huyo dada anatakiwa afungua kesi na kama hakukata rb toka kipindi yule mtu kakimbia means hapo hamna kesi. Huyo anamchezea huyo mama na hiyo maahakama ya mwanzo sizani kama hata kaka kuna hakimu hapo watu wafwatilie hiyo kesi wanataka mtapeli
2026-08-05 22:01:56
4
chadumakopa
Chadumkopa Makopa :
ndugu mwandishi weka namba ya simu ya uyu mama yumchangie ela
2026-08-06 06:18:24
1
user5961350943797
user5961350943797 :
aweke namb tuchang milion tano ni ndog sana jmn watu wanaroho mbay nyumb ya milion mia inauzwa milion tano nooooooo!
2026-08-06 04:41:24
1
To see more videos from user @kusagatv, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About