mimi mwenyew kinanisumbua hapa hadi kero watu wananichukia hatar
2026-09-11 16:06:11
0
Johanes Gosbert :
namba mliyoiweka nasmbiwa haipo
2026-09-11 08:42:16
0
basu budeba :
yaan bora mngekuwa mnasema ukweli muda huu kinaniumiza adi watu wananichukia nawaibia ila router Airtel nimewachukia sana
2026-08-30 15:46:19
1
Navy Falcon :
Airtel ni ovyo sana☺️☺️
2026-08-06 05:30:30
0
🇲 🇷 🇹🇿 🇧 🇦 🇱 🇱 🇪 :
naitaka sasa atanifungia nani njee
2026-08-12 16:03:34
0
Nikas Aledy :
Nipo geita katoro naipataje
2026-09-11 09:47:15
0
official mouh :
ya kwangu inasoma 4g tu 5g haikubali mbn?
2026-08-18 11:31:12
0
feizer :
Mimi natumia hiyo hiyo ipo vizuri sana 🔥🔥 kuna settings zake unazifanya kwenye account yake
2026-09-16 14:36:30
0
willison baracka :
ni yale yale Airtel mi nikiziona napata asira sana yan nakasirika basi tu eti wananitumiagacet bando la retail
2026-08-07 21:05:11
0
Bruth StreamPro :
kunarusha mita ngapi?
2026-09-03 19:45:31
0
Amini twaha :
Na hitaji
2026-08-31 12:36:15
0
brother :
Nipo nayo line sina nifanyie mpango wa line
2026-08-31 11:00:14
0
Dee collection :
Iko vizuri 🔥🔥hata mim uwa naibeba
2026-08-09 08:36:36
1
ENTIAGO ACCESSORIES STORE :
mm ni mtumiaji wa hiyo wifi ziko vizuri mnoo.
kwanza inaunganisha watu 64 ya ndani 32 na ya nje32.
still inaenda 100m
2026-08-25 10:01:11
1
Madicotheboy :
Nimekuja kusoma Comments za walizo nazo hili nijue 😁
2026-08-31 11:46:37
0
fredyisack0 :
hamna router hapo even kifrush kikubwa no consistency mara 5mb/s mara 10kb/s hado 0kb/s can't take 10gb file straight, I feel like ni throw kwa barabara zikanyagwe na gari
2026-08-30 05:55:25
0
01precious8 :
Nahitaji power bank.
2026-09-12 09:56:27
0
djinine9 :
Bado unazo mkuu?
2026-09-17 13:51:54
0
JUST-ME🐝 :
unafaynyaje
2026-09-17 03:21:25
0
basu budeba :
zinasumbua sana nataka niitupe ngoja tu nivumilie kwa sababu kuna bando
2026-08-30 15:45:04
0
Angel Nicholous :
hicho kinachofungwa nje kama fundi ameshaondok naweza kukipandisha juu mwenyewe? maan imefungwa chini
2026-08-30 12:02:33
0
FUNDI÷ GYPSUM BOARD !! RANGI :
2026-08-06 07:22:50
0
To see more videos from user @connect_tz0, please go to the Tikwm
homepage.