thaz y we kemboi kukiwa bad we change the house wuee let me enjoy being a kemboi
2026-08-06 09:28:59
1
S:G:L♥️ 💰🥷 :
mwambie akupeee ticket mapema
2026-08-06 08:18:20
0
Daisy ngangat :
silent treatment with bombastic side eye 👀👀👀 atakuogopa
2026-08-06 05:05:27
174
🦋Min.SIA🦋❣️ :
mimi naeza kupea silent treatment ushangae
2026-08-06 00:24:05
98
shiru ❤️❤️zahra🤍💖 :
my phone is full of their missed calls and voice notes ata sizisikizangi mm simu nj yangu na kredo n mm najibai
2026-08-06 04:49:18
2
kimmie :
😂😂Mimi nayo huwa sijibu nakupea macho ingine utadhani Mimi n ibilisi
2026-08-06 04:39:05
206
mermie chidzuga :
sometimes just give them a simple silent 🤫 please atakupatia headache dear.
2026-08-06 05:05:17
4
Emily Kena :
mimi nilikuwa na boss kama huyo ilibidi niende kwa mganga sahii niko sawa
2026-08-06 06:54:55
35
Everline Atieno :
Hiyo nguvu ya kuwajibu unatoa wapi
2026-08-06 06:27:27
16
Santos Taita hiker :
Usiwai jibizana na ao watu wakiwa wanaongea just listen only answer when you really need to otherwise mkiongea nyote mtasumbuana atajam zaidi
2026-08-06 05:27:17
5
Kana Kanake :
ukitaka amani na hawa watu usimuongeleshe ukiona anakutafuta maneno mpee tu macho ya hasira basi
2026-08-06 04:43:10
37
PAULA COLLECTION :
Kuna watu comment section wanasema hawajibizani na warabu, hamjui kuwa Hawa wamama ni tofauti.mimi wangu Toka January hatuongeleshani Hadi leo.nilimwambia awache kushout Mimi SI mtoto wake
2026-08-06 07:58:23
15
sada :
ndivyo walivyo mimi hapa naambiwa kazi ni kula nakutumia.wifi ya bure🤣🤣🤣🤣🤣🤣
2026-08-06 05:56:16
9
hadija :
pole sana mdogo wangu hao watu nawajua vizur nimekaa nao miaka kumi na tisa
2026-08-06 04:08:46
10
shaniz419 :
nyinyi mnasema ata usimjibu hwa watu wanaeza kupush kwa wall inabidi unajiongea banah
2026-08-06 08:45:41
5
Mohaa..☕️🍷 :
Waa Sorry Wallah
2026-08-06 01:54:32
0
💫lastborn🎣 :
Dada nakwambia hivi hwa ni maumbwa hajana naye shenzi type
2026-08-06 00:18:52
16
maureenthuku😍 :
Mm alkua amezoea kunitusi juzi nlipack kwenda kwa office 😂😂😂 mzee akaniogelesha kuskia bibi matusi ananitusingi 😂😂😂 alishangaa sana boss wangu aliambiwa hio matusi haitusianangwi kwake 😂😂 kulkua kumoto sana
2026-08-06 07:41:50
5
miss vee🥰😘 :
She is jealous of you being on the phone ataki umemake vide anajua u do tiktok and she want to distract you wen doing video by calling you. Kua mjanja nunua Ata katululu uweke simcard akikucall ushike kua na simu mbili. Mind game my sister win her usiache akutafte makosa be smart
2026-08-06 02:34:02
13
Linet :
ww nae kwa simu Kila saa alafu mnawaita wabaya aaaaai 😂😂😂😂😂
2026-08-06 08:07:55
3
Wamboi wa CPA :
my situation right now....ata nasikia ku murife.....lkn hakuna njia ya kutoka
2026-08-06 09:55:55
0
ZEDDY :
ukitaka amani akiongea usijibu macho yanatosha ukijibu ndo story inakuaga mob na hatanyamaza
2026-08-06 10:24:12
1
mammy heart :
wangu mm na bb yake tunakeshanga alafu tuna lala asubuhi acha anikujie na wageni siku Moja badala aache tulala wakaanza mouthing 🥺 nilipanda kwa kitanda nikalala na nikaanza kushuta🤣🤣wakathani ni mgonjwa amepupu siwalienda🤣💃
2026-08-06 10:43:54
1
To see more videos from user @phidy20, please go to the Tikwm
homepage.