@mzeewakijiji1: Ufundi wa ushairi na hisia nzito za Taarab ya zamani kutoka Tanga. "Kweli alikuwa wangu lakini sasa sinave..." #ZanzibarMusic #OldIsGold. #SasaSinaye #ClassicTaarab #SwahiliMusic

Mzee Wa Kijiji
Mzee Wa Kijiji
Open In TikTok:
Region: KE
Thursday 06 August 2026 03:41:31 GMT
23421
751
86
286

Music

Download

Comments

user6768871275509
user6768871275509 :
surely this is something else from diferent world
2026-08-09 10:02:09
1
zuhuramasud
[email protected] :
Old always gold❤️❤️❤️
2026-08-07 07:59:24
2
1firdhaus
Shammad collections :
old is gold... mziki bila jasho wala vurugu... maneno yaliopangika
2026-08-06 09:40:22
5
sitilhabaib6
💕 :
Nyimbo nzuri za wasaa za kufurahisha na hazina matusi wala maneno machafu nyimbo za mahaba nyimbo za sasa hatahuwezi sikiza machafu😅
2026-08-06 05:46:57
8
ally.said82
Ally Said :
MASHAALLAH
2026-08-07 17:37:41
1
elcapone486
mohaa yusuf :
Masha Allah
2026-08-06 05:22:04
2
hassani.kapilima
Hassani Kapilima :
umenifulaisha sana
2026-08-07 20:20:48
1
user2994399034352
Esh baiga3 :
Era of no return, haita rudi tena enzi hizo nyimbo zilikua na raha ajab
2026-08-06 11:52:22
3
maalim_suhusu
Suhusu :
Ukweli mtupu unaoongelewa kwenye shairi hili. Zamani oyeeee!!!!
2026-08-06 18:55:20
1
nasramohammed449
Nasra Mohammed449 :
Taarab hii siyo ya Tanga, wimbo ni wa Culture Club ya Zanzibar, uliimbwa na Khamis Shehe Al marhum
2026-08-07 04:49:06
1
yussuf.ame8
Yussuf Ame :
Safi sanaaa
2026-08-06 08:41:49
2
khalidmatimbwa1
Khalid Uwesu :
shukran hizi ndio nyimbo zenye kutuliza nafsi ya mtu
2026-08-06 07:35:08
2
mzeewakijiji1
Mzee Wa Kijiji :
"Ufundi wa ushairi na hisia nzito za Taarab ya asili haziwezi kuchuja kamwe!"😍
2026-08-06 04:24:54
1
user6768871275509
user6768871275509 :
gone are the days
2026-08-09 10:03:27
1
skip6235
skip :
old is gold
2026-08-07 23:09:10
1
skip6235
skip :
naende,amtakaye kwani mm nime koma hahaaa
2026-08-07 23:10:14
1
mzeewakijiji1
Mzee Wa Kijiji :
"Maneno matamu na mahadhi ya kipekee, hapa kazi ilifanyika kweli."👍👍👍
2026-08-06 04:24:21
2
emmyswillat
emmybeka2020 :
hii ni kutoka ZANZIBAR na co Tanga mbn unapotosha
2026-08-06 17:36:06
1
babasuheil
IBRAHIM GRAPHICS :
hiyo sio taarab ya Tanga babaa ni Zanzibar
2026-08-10 08:54:14
1
ashraf.gulam2
Ashraf Gulam :
wallahi ni kama mnaongeleya yule aliye kuwa wangu 😂😂😂😂👍👌👌👌👌👌
2026-08-06 18:23:20
1
mugarura.issa
m :
hiyi ndiyo Taarabu Asili.tutapo tuliya tutarudi kwenye Taarabu asili
2026-08-09 05:58:28
1
faraway2342
Faraway :
1989 mwaka niliozaliwa👌🥰
2026-08-06 19:33:09
1
merdynhima
merdynhima :
🥰🥰🥰💔atakuta nn kiasi nishamkataa tupe stara
2026-08-06 10:39:36
1
To see more videos from user @mzeewakijiji1, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About