kwani izo kadi kwanini wasitembee nazo kwenye gari wakawa wanawauzia watu
2026-08-06 18:48:26
7
saifsaify20 :
Kibinaadam gari za abiria za binafs ziwepo kama kawaida na wao wawepo mtu chaguo lake
2026-08-06 19:23:09
7
yahyaali7595 :
Kadi zipo zimeanza kuunzwa wiki moja kabla ila kama kawaida yetu sisi wazanzibar ni dharau sana
2026-08-07 08:39:51
3
chid :
mi naona TUMUELEKEEE ALLAH T
2026-08-06 12:29:15
9
Sultan Seif :
TATIZO SEREKALI KUZUIA DALADALA BINAFSI NDIO TATIZO KUBWA
2026-08-06 14:53:52
2
Sadlinah 👸🏿 :
kama mwezang anayo hiyo card akanitolea yy nauli haiwezekani?? yaani mfano akatoa 1,400,
2026-08-06 12:27:14
3
(XBOX1)ghost.tz🇹🇿 :
asa kwahalihii izigari sizitafilisi sheli mana mana ndani kunawatu wa5 alafu inafanyakazi sikunzima duh😂😂😂😂
2026-08-07 15:11:53
0
Abdulhakim :
yajayo yanafurahisha,,,😁😁😁😁
2026-08-06 21:18:45
0
Ali Mohamed :
na Bado mtasoma number
2026-08-07 05:18:16
0
jumaila_glam 💄&wedding dress :
😂😂😂mwanzo tu
2026-08-06 22:51:16
0
comred wa zanzibar :
sisi wanzanzibar hatuki mabasi siis shida yetu kwnza atulete meli za kwenda pemba au zanzibar air
2026-08-07 07:30:46
0
yusuphermohamed :
kabla ya mabasi kuja airport watoto wetu wadogo wanaokwenda school walikuwa wanapakiwa bure lkn sahivi hawapakiwa na basi haya wanatakiwa wawe nakadi
2026-08-07 15:29:42
0
seif Madole :
mtazoweya tu
2026-08-06 19:26:23
0
Muddy Wise :
poleni watu wa route hio
2026-08-07 16:46:47
0
Abdurahman Yussuf :
mitano tena
2026-08-07 15:51:22
0
Omar bare :
nchi wngu zanzibar 🤣🤣
2026-08-07 17:52:12
0
🍫✨ 𝐃𝐀 𝐘𝐔U CHOCLATE CAK 🍫 :
me ayo ningeyasusia ayoo
2026-08-07 17:50:45
0
Husseinbakar891 :
Kwann kila kituo kisiwekwe mashine ya kukatia Kadi? kutaka mambo ya watu musio unaweza?
2026-08-07 12:01:48
0
Azshar💞 :
Kwakweli serekli 🥺🥺😳😳😳mh
2026-08-07 08:01:40
0
salu abraman :
oy gar zetu tusizizarau mbaya lakin zinatusaidia san 🥰🥰🥰🥰🥰
2026-08-07 12:05:02
0
Aithar Khamis :
Mimi nnachoshangaa cad hazipatikan lakini kijangwani gari haiyondoki mpaka ijaee na njiani abiria wanaachwa
2026-08-07 17:56:42
0
Mohd Haji :
oya Mimi binapi hizogari siwezi kuzihitaji kwanza hazina faida huzipati muda muafaka lazima zichelewe kwahio zimesukumwa tu tuzitumie tunataka gari zetu zirudi bora mara mia gari zetu ziwe hata mbovu nibora zaidi Nasha ngaa kwanini tunafeli wapi hatuwezi kwenda Kwa waka bada kwenda mbele tunarudi nyuma mara miamoja doo
2026-08-07 18:28:20
0
Nahiya Mumy :
MUSIFUJE TIKET ZINATOLEWA KIJANGWANI 700 KWENDA NA KURUDI UNATAKIWA UKATE KABISA UNAPOKWENDA SAFARI YAKO UKIJUWA UNARUDI.
2026-08-07 20:42:38
0
Babaiye :
Mandamano lin
2026-08-07 14:11:58
0
Maryam Salum :
mitano tena
2026-08-06 20:24:01
0
To see more videos from user @user6817013234861, please go to the Tikwm
homepage.