@kiswahilitvonline: Kila siku zinavyozidi kwenda Soft Ground Wrestling (SGW) kutoka nchini Uganda, inazidi kuzalisha mabingwa wapya na wenye uwezo katika kucheza mieleka. Na hivi karibuni limeandaliwa pambano kubwa litakalofanyika Agosti 23, 2026 ambapo Coolman atatetea mkanda wake dhidi ya mpinzani kutoka nchini Marekani anayeitwa Ena, pambano hili litapigwa ndani ya ulingo wa matope nchini Uganda. Kama na wewe ni shabiki wa mieleka usipange kukosa. 🔥🔥

kiswahili Tv
kiswahili Tv
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 06 August 2026 05:43:44 GMT
3686
100
1
3

Music

Download

Comments

muuh.usd.tyre
JOSEPHU :
maigizo
2026-08-06 06:45:52
0
To see more videos from user @kiswahilitvonline, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About