@islamic_rihla: Ndoa yenye utulivu hujengwa kwa upendo, heshima na kujali hisia za mwenzi wako. Mume anapopuuza wajibu wake, mawasiliano na mahitaji ya kihisia ya mke wake, migogoro inaweza kuanza kujitokeza. Kila mmoja anatakiwa kutekeleza wajibu wake kwa mujibu wa maadili mema na mafundisho ya Uislamu ili kujenga familia yenye amani na baraka. 🎙️ Mzungumzaji SHEIKH OTHMAN MICHEL 🌱 Usiache kheri iishie kwako. 📤 Shiriki video hii, huenda ikawa sababu ya wanandoa kutafakari namna ya kuimarisha ndoa zao kwa upendo, mawasiliano mazuri na uwajibikaji, kwa idhini ya Allah. ❤️ Like • 💬 Toa maoni • 🔖 Save • 📤 Share 🟣 Follow | Share | Save Islamic Rihla — Safari ya Imani #islamic_rihla #islamicvideo #uislamu #islamic #islamic_rihla 🟠 FOLLOW US
kabisa shekhe upo sahihi njoo uniowe mke wa pili unaonekana una upendo wa dhati sana inshaallah
2026-09-06 14:12:10
0
Nuwat :
nikweli sheeh
2026-08-24 16:57:13
0
amma :
Umeongeya kweli sheikh
2026-08-06 12:54:58
0
life_of_daddie :
amnaa sheikh kuna yule aliyekuwa amependwa alf haujaolewa naye so anakuja kumuoa mtu mwingine ko unakt bado anampenda mtu yul wa mwanz bioa hat kufanyiwa shida yyt
2026-08-06 06:13:20
0
Juma Mhando579 :
👍🤝
2026-08-06 09:53:21
0
user1306961461242 :
🥰🥰🥰
2026-09-07 09:42:51
0
Hadija Mussa :
@
2026-08-26 17:22:14
0
To see more videos from user @islamic_rihla, please go to the Tikwm
homepage.