@matukioonline_tv: #MAKTABA Julai 23, 2020 Taifa la Tanzania lilimpoteza rais wa awamu ya tatu hayati Benjamini Mkapa, na hii moja ya kauli yake tata aliyoitoa dhidi ya wapinzani kwenye kampeni za uchaguzi mwaka 2015. @matukiotv_online
Matukionline Tv
Region: TZ
Thursday 06 August 2026 07:07:35 GMT
Music
Download
Comments
Furaha M Hassan :
kipind hik Roma walikuw wap?
2026-08-27 20:22:03
4
kasongo :
Wakati huo Kitima,Gwajima,Bagonza,lisu,Mwabikus,walikuwa nje ya nchi hawakuyaskia hayo!!
2026-08-31 06:41:52
0
user2237785281433 :
muda nihakimu mzuri San iko wapi sasa mzee baba
2026-08-31 17:56:00
0
Abdumalck Ramadhani :
angeyasema mm samia duh wanaharakati wangesema mpaka basi
2026-08-30 15:11:35
1
mango :
hivi yupo wapi now
2026-08-06 07:16:48
1
Omar isa :
hongera
2026-08-06 11:59:11
2
Bin Shaaban Seif :
ANGESEMA RAIS SAMIA MUNGEMTUKANA UBAGUZI UMEKUZIDINI
2026-08-06 13:31:39
5
Juma Juma :
hakuna atakae bak
2026-08-30 12:42:14
0
Ismail Hassan :
sahihi
2026-08-22 13:54:34
1
Nassoro Mkwanje :
Huyu ndiye Mkapa fundi wa hoja kuliko marais
2026-08-29 18:21:02
1
user24024190945116 :
Pumzika kwa amani Mzee wetu 🙏🙏🙏🙏
2026-08-06 11:37:43
2
chosen one :
daaah kweli
2026-08-06 15:43:21
1
Galib :
njomba chimutu daa nilimkubari kinomaaa
2026-08-06 11:49:15
1
Meddie :
ulimaliza mzee
2026-08-22 19:30:12
2
Humutu :
Punzika kwa amani mzee Mkapa, uliona mnbali sana
2026-08-06 10:21:57
3
user24024190945116 :
Wazee wakishaanza maneno kama haya ujue mchezo ushaisha 🙏🙏✅
2026-08-06 11:39:39
1
Adam Mj :
Angesema Samiah haya!!!,,,hapo Heche alikuepo,Kitima yuko,,lissu yuko 😁😁😁
2026-08-20 10:30:55
1
kisoyoung :
akisema Samia hivo kesho Musa ya Kwanza makanisa yote mada ni yeye
2026-08-06 15:44:49
2
Charles jasson :
Tena malofa kabisa wakina heche
2026-08-06 09:10:10
2
user57137683253277 :
ukombozi umetuletea maafa kwenye taifa letu
2026-08-07 11:50:05
0
Yaumu Juma :
😂😂😂😂😂 kabisa
2026-08-06 07:18:00
0
trust in GOD :
ushakufa tayar
2026-08-30 10:43:54
0
To see more videos from user @matukioonline_tv, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.