@drtarimo.01: Pregnant to motherhood journey/Safari ya ujauzito hadi kujifungua. For educational purposes only! #unitedstates #PregnantJourney #usa #FertilityJourney #unitedstatesofamerica #iowastate
naomba mwanangu atoke salama na niwe salama na mimi
2026-08-06 19:58:47
11
Maua Miraji og :
Yani kak Kam unaniona vile
2026-08-06 11:53:32
14
happy dastan :
mm nawaza kufa jmn hadi nalia
2026-08-07 14:08:36
0
silviagustavo❤️ :
dawa ni maombi tu sababu hakuna mtu atakae kuja kukutia moyo, ndo ukute una mume haeleweki utajitesa bure
2026-08-06 21:06:03
4
Seviour :
Kweli kbsaa mbnaa ni me huyu jmn MUNGU nisaidie me🙄
2026-08-06 16:20:30
4
mackrina James :
Ndo zinazonitesa saizii jamaniii
2026-08-07 08:27:52
1
Phina :
huyo ni mimi wiki 40 sasa nikikaa mwenyewe ni stress tupu hofu haiishi
2026-08-07 05:54:29
4
lastborn🥰🥰🥰 :
kwel nawaza sana had nakosa lahaa😔😔😭
2026-08-07 05:56:54
1
itsjaz :
doct mi sina raha ,kabis stress n yanayoendelea ya ndoa yng,najikuta nalia tu ,yn nmechok nik n mimba ya miez 6,sijawah kua emotional hv Kuna muda nashindwa ht nifanye nn,ntk tu kua peke yng ,sio mimba y kwan ila ss hv n tofaut sana ..nina msongo🥺🥺
2026-08-06 20:13:17
2
devothakabyemela8 :
mungu atutangulie mawazo mpaka usingz unakata
2026-08-06 19:14:09
2
lizymorofficial :
Sio kweli bna na wala msipende kutia hofu watu mnazidi kuzua taharuki. Badala ya kuongea kutia moyo nyie mnazidisha hofu watu waogope. Nasema hvi hakuna cha stress wala kichaaa kwa mama mjamzito na kama wapo sio wote. Tuache taharuki jmn
2026-08-07 05:33:24
2
Baby nabu :
yan nawaza kweli
2026-08-06 12:09:27
2
🌬️♏rs🌬️🦋 :
dokta natapika sana na kutema mate nifanyaje
2026-08-06 15:38:54
0
zaituni md :
ni kweliiii kabsa
2026-08-06 11:40:47
1
user90947226933762 :
mim kila siku nalia mpk mimb ndo kwanz miez2 mawazo dah hizi chngamot zang cjui itakuaj na ni kwa op
2026-08-06 12:37:20
2
webby :
Mimi nilikuaga nikikaa pekeangu nalia mpaka macho yanavimba ila mimba na kulia cjui Kuna uhusiano gan.
2026-08-06 17:58:16
2
Popah👩🐬 :
Kweli kabisaa
2026-08-06 18:11:41
1
B fashion :
Mm sipajui labor ctaki kuruhusu stress
Mungu atusimamie wajawazito wote 🙏
2026-08-06 20:46:15
2
user7060277421845 :
m nilimpoteza wa kwanza apa nawaza sana itakuwaj
2026-08-06 15:01:32
2
Sumahiya Said :
mimi ndo sjielew muda wote nacheka tu nacheza rede
2026-08-07 08:12:44
1
Delly :
Sasa kama hakuna kinachosumbua utalazimisha?
2026-08-06 17:05:56
0
To see more videos from user @drtarimo.01, please go to the Tikwm
homepage.