Adam(a.s) hakua nabii. Nabii wa kwanza alikua Nuh(a.s). Adam na wanawe kabla ya Nuh walikua wakiishi katika fitra.
2026-08-08 17:22:45
0
Adnani Ngungwipara :
na hilo ndio tatizo la watu kuukata ukweli..adam alikosea tena aya nyingi tu zinasema hivo na ndio maana Allah akamsamehe....kama hajakosea msamaha ulikua wa nini ???
2026-08-08 19:59:46
0
SHEKS :
Yote hayo ni MITIHANI ya Allah na ni Mipango ya Allah ili watu tujielewe kila khatwa Mitihan na Kila khatwa Duaa hadi Leo tunajadili mitume yetu A.S na MITIHANI yao
2026-08-08 17:51:53
0
To see more videos from user @asadiqmedia, please go to the Tikwm
homepage.