Mimi nayo kuwa witness is a big no ata unilipe..nishawahi gongwa 14 days remand kwa kuwa witness wa uongo😂😂😂😂
2026-08-06 15:32:28
12
kinyaunyau :
nilikuuliza judge kuvuja kalamu inamaanisha ajeee
2026-08-06 11:34:04
1
bablo :
what if daktare amemiss court 4 times na mwenye umepiga ako na witness mmoja???
2026-08-09 16:43:13
0
Weezy :
Bro Kuna mtu kwa area yetu alianza kiniibia tangu 2022 mpaka Leo this year ameniibia simu mpia last week ameniibia tena nimechoka naye nimereport kwa police station ya kwamba ameniibia 600k je nikimshika court ajaweza kunilipia hiyo pesa? 🙏🙏
2026-08-06 11:28:53
1
Gideon_with_300_soldiers :
thanks bro sikua nashughulikaga na vitu ka izo Wala kuzisoma
2026-08-28 17:26:49
1
vincentbalozi :
watu wengi wanaogopa mambo na kesi sana ata kama ni rafiki yako hawezi simama na wewe
2026-08-06 11:25:09
3
Silverback@11 :
Lazma shahidi hata kama uko na video record
2026-08-08 20:10:48
0
user4812965096979 :
Ukweli
2026-08-06 18:26:59
0
junya nyangena :
akiandika statement kama saidi ni lazima uende court
2026-08-06 13:00:14
0
Apostle Simeon Rutto :
kweli
2026-08-06 11:21:57
0
msonjo 💯 :
kuna msee nilipiga akanichukulia adi p3...through this guy nikachanuka naivyo ndio nliamini ata ukiwa na p3 naww sio mjanja uezi funga mtu😂
2026-08-06 15:31:31
0
blalstupid :
sasa imagine uko na kesi ya defilement na ukweli haukukula na daktari anasema ulikula hapo sasa witness watatoka wapi
2026-08-06 12:16:10
1
Kiunduani Medical :
Mimi nimekua Na makesi Kaa Soo but kutumia akili kiasi unawin juu huyu man amenichanua
2026-08-11 19:22:15
0
king Louis :
😅😅😅
2026-08-06 11:31:07
0
Donnas kaota khobo :
🥰🥰🥰
2026-08-11 08:03:15
0
To see more videos from user @bazah.cooper, please go to the Tikwm
homepage.